Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwani unadhani malaya wapo Ambiance na Kumboka tu?Yani watu wote waliomwona wana makengeza?
Au ndo unahamua kuwadanganya wana JF kama wanasiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unadhani malaya wapo Ambiance na Kumboka tu?Yani watu wote waliomwona wana makengeza?
Au ndo unahamua kuwadanganya wana JF kama wanasiasa
Ikiwaka Mulika, Ikizima PapasaKumekucha
Ameshakamatwa aise kwa kesi la mauajiAcha uongo, mwamba yupo na hana wasiwasi kabisa. Sema yupo chimbo moja matata Sana.
Siyo kweli. Hata hayuko huko mnaposema aise. Na jana nilikuwa naye mbona😂😂😂😂Mwanachi waongo.Ameshakamatwa aise kwa kesi la mauaji
Humu kila mtu mjuaji [emoji3][emoji3]Siyo kweli. Hata hayuko huko mnaposema aise. Na jana nilikuwa naye mbona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanachi waongo.
Ameuliwa Kama mbwa wengineKisanduku alikuwa anatimiza maagizo ya Wakubwa.. Ni Mbwa tu alitumwa kubweka..
Hapa tuulizane yuko wapi aliyemtuma yule Mbwa kumbwekea Nape?
Mkuu Nina uhakika na ninachokisema.Humu kila mtu mjuaji [emoji3][emoji
Hata mimi nina uhakika huo tatizo watu wa humu ni ubishi na ujuaji tuMkuu Nina uhakika na ninachokisema.
Mwamba hayuko kusini huko!
Hadi Mwananchi wameingia chakaHata mimi nina uhakika huo tatizo watu wa humu ni ubishi na ujuaji tu
Halafu kuna wale maafande vijana waliokuwa wanatafuta sifa za kijinga kwa kutishia kumpiga risasi Adam Malima.
Nataka nijue wako wapi hivi sasa. Walipandishwa vyeo baada ya tukio lile? Walisimamishwa kazi? Waliondolewa Dar na kupelekwa mikoa mingine?.
Ila kama taifa tulifika pabaya sana, Mungu alifanya vyema kutuondolea yule shetani.
Gazeti limedanganyaAmeshakamatwa aise kwa kesi la mauaji
Mbona anatupia bado instagram.Ameuliwa Kama mbwa wengine
Mi naongelea aliemtuma (Magu)Mbona anatupia bado instagram.
Yule atatinga mahakamani na bashite