Polepole usiwe na harakaWakuu
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule..mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, dogo amepotezwa kishamba kwelikweli
Yeye sahivi ni mbunge wa viti maalumWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli
Jamii haina imani naye tenaChakubanga anatafuta makaburasha ya katiba ile mpya pengine yakamuinua tena.
Yupo hoi bin taabaniWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli
Tunakesha Usiku na Mchama kumwomba MUNGU AWAADHIBU wale Wote Walioshiriki DHAMBI ya Kutesa kuua kudhulumu kufunga Wananchi kwa Kisingizio cha SIASA wataondoka WOTEPoleppole bado hajapata pigo, bado kabisa kuna pigo linamsubiri maana ameshiriki kudhulumu uhai wa watu!
Aonekane wapi mkuu!!! Labda awe mpinzani bungeni agonge meza na mishipa ya uso imtoke akiongea hoja!!!! Kwisha habari yake!!!Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli