Sabaya alikuwa na v8 na ulinzi mkali!!! Yuko wapi sasa? Waovu wote wanalipa hapa hapa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya alikuwa na v8 na ulinzi mkali!!! Yuko wapi sasa? Waovu wote wanalipa hapa hapa!!!
[emoji23][emoji23]Chakubanga anatafuta makaburasha ya katiba ile mpya pengine yakamuinua tena.
Kivip labda...!!😁😲Yupo hoi bin taabani
Sio rahisi ashakufa kibudubado mapema sana ataibuka tu
ana vinasaba vya kinyonga. Uzee na ujana wake unakuja kutokana na waliomzunguka kwa wakati husika.Kijana mdogo? Ana umri gani yule jamaa?
Ukimcheki kuna muda anaonekana kijana kuna muda anaonekana ni mzee aliechangamka...
Maisha yanakwenda mbio sanaWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli
huu ndio mtambo mwingine ambao mpaka leo sijaelewa unakuwaje bado ni waziri. Huyu mama saa zote yupo kama anaigiza role ya mama wa kambo kwenye movie ya kinigeria. Tena mama wa kambo mchawi.Maisha yanakwenda mbio sanaView attachment 1812179
Nipo hapa wasemaje?Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli
Kha!,kha!, Kwamba na yeye atakamatwa na kufunguliwa mashitaka??.Polepole bado hajapata pigo, bado kabisa kuna pigo linamsubiri maana ameshiriki kudhulumu uhai wa watu!
Kufanya nini wakati sio kwao?.Yupo chato mkuu
Ha ha ha ha ha haPolepole bado hajapata pigo, bado kabisa kuna pigo linamsubiri maana ameshiriki kudhulumu uhai wa watu!
Jamii ya JF?Jamii haina imani naye tena
Utaelewa nini na wewe bado unaishi kwa shemeji yakoJamii ya JF?
ha ha ha, ni kijana mwenye mitazamo ya kizee!!Kijana mdogo? Ana umri gani yule jamaa?
Ukimcheki kuna muda anaonekana kijana kuna muda anaonekana ni mzee aliechangamka...