Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Kubaki Mbunge wa Nkasi tuu, inaleta taabu.Tunakesha Usiku na Mchama kumwomba MUNGU AWAADHIBU wale Wote Walioshiriki DHAMBI ya Kutesa kuua kudhulumu kufunga Wananchi kwa Kisingizio cha SIASA wataondoka WOTE
yes, maana alikuwa kiongozi ambaye hakuzuia walio chni yake kutenda maovuKha!,kha!, Kwamba na yeye atakamatwa na kufunguliwa mashitaka??.
Mungu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu ndio mtambo mwingine ambao mpaka leo sijaelewa unakuwaje bado ni waziri. Huyu mama saa zote yupo kama anaigiza role ya mama wa kambo kwenye movie ya kinigeria. Tena mama wa kambo mchawi.
Kwank huyu ni kajana au Mzee! tuanzie hapo kwanzaWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Kutoa kafaraKufanya nini wakati sio kwao?.
😅😅😅kama popoKijana mdogo? Ana umri gani yule jamaa?
Ukimcheki kuna muda anaonekana kijana kuna muda anaonekana ni mzee aliechangamka...
Unafiki umempoteza. Kijana mdogo halafu mchawiWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Hivi ni nchi gani zenye wabunge wa viti maalum ukitoa TanzaniaYeye sahivi ni mbunge wa viti maalum
Hapana, huyo hawezi kukamatwa, atapata pigo la Mungu wa IsraelKha!,kha!, Kwamba na yeye atakamatwa na kufunguliwa mashitaka??.
AmenHapana, huyo hawezi kukamatwa, atapata pigo la Mungu wa Israel
Dodoma BungeniWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Pole pole hajastaafu. Ni mbunge wa kuteuliwaWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Acha chuki. Huyo mama anachapa kazi sana tokea akiwa TAMISEMI.huu ndio mtambo mwingine ambao mpaka leo sijaelewa unakuwaje bado ni waziri. Huyu mama saa zote yupo kama anaigiza role ya mama wa kambo kwenye movie ya kinigeria. Tena mama wa kambo mchawi.
wewe ita chuki mimi naita mtazamo. Na hiyo ndio shani ya kuwa na uhuru wa kusema utakacho.Acha chuki. Huyo mama anachapa kazi sana tokea akiwa TAMISEMI.