Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Seriously!?...the guy is a member of the parliament of the Republic of the United Republic of Tanzania..for those who aren't aware...his position is the third high ranking political position in the Land... 1) President...2) Cabinet Minister and third is the member of the Parliament...hizo nafasi kisiasa nchi hii ni politicians dream...Katibu mwenezi wa chama cha siasa is nowhere near those slots.... unless kuna jingine nje ya hizo ladders.Polepole can bounce back,watanzania ni watu wakusahau sana
Bado anatembea polepoleWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
vieti kaiacha wapiBado anatembea polepole
Kwa hiyo ana tofauti gani na wale wa covid 19?Yeye sahivi ni mbunge wa viti maalum
Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Alikuwa anaonekana kipindi kile kwasababu nafasi yake na majukumu yake ya kipindi hicho yalimfanya aonekane mara kwa mara. Sasa hayo majukumu anayo Shaka Hamdu Shaka. Cha kujiuliza, huyo Shaka Hamdu Shaka anaonekana? Kama haonekani kwanini?Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Yaani JF sasa hivi sawa na Group LA WhatsApp!JF. Imeshuka sana Hadhi. Hivi huko unapokaa Hakuna vigodoro ukatoe mada.
umelazimishwa kutumia JF?JF. Imeshuka sana Hadhi. Hivi huko unapokaa Hakuna vigodoro ukatoe mada.
Wanadamu hatuishiwi hila.Nchi hii kila mtu ni mchawi!
Wengi wenu mngefurahi kuona anaokota chakula kwenye majalala?
Yupo shujaaa alie ongoza mapambano kuwafulumusha mabwanyenye ya pale ufipani na kubakiwa na kajimbo kamoja kakule kijijini, haijawahi tokea. Na bado ndo raisi wa miaka ijayoo. Usiyempenda atakuja tuuuWakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Nipeni maji nifue, na OMOKivip labda...!![emoji16][emoji44]
Kama vii eite analo la kwake na sio Lile la chama Tena..
Kama maslahi kule CCM alikuwa na mshahara wa 1m... Sasa hivi Ana 12m za ubunge, bado posho za semina zisizoisha Kyle bungeni . Kwanza Mbunge wa viti maalum Hana Jimbo hachangii shule zahanati Wala kuwajali wapambe..!!!
Ana exposure na influence ya kuingia na kumuona yeyote serikalini
Kitu pekee kilichopungua Ni mamlaka na madaraka, lakini maslahi yameongezeka mara 10 kwenye mshahara. Kamuulize John Mnyika akipewa achague ukatibu mkuu na ubunge atachagua nini.!??
Hata Slaa alipoombwa abaki katibu mkuu alitoa sharti la kulipwa Kama Mbunge ili aachie ubunge.
Chuki zetu zinatufanya tuwe na hoja za kijinga Sana. Unapouliza Yuko wapi kwani wewe ulitaraji awe wapi!? Au umkute wapi!?? Je hiyo nafasi yake ya Sasa inamtaka aseme kila saa kwa kila jambo!?... Au inamtaka awe wapi.!?? Leo hi unaweza kuuliza JK Yuko wapi wakati keshastaafu!? Kwamba tulinganishe mishe zake akiwa madarakani na Sasa akiwa Mstaafu...!!
JF imekuwa ya hovyo Sana kwa kweli.
Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.