Yuko wapi Humphrey Polepole?

Alikuwa anaonekana kipindi kile kwasababu nafasi yake na majukumu yake ya kipindi hicho yalimfanya aonekane mara kwa mara. Sasa hayo majukumu anayo Shaka Hamdu Shaka. Cha kujiuliza, huyo Shaka Hamdu Shaka anaonekana? Kama haonekani kwanini?
Ataonekana pale atakapokuwa anahitajika na si kupiga debe kama mtangulizi wake .Chama chetu kwa sasa kina viongozi na sio wababaishaji ambao kimsingi sio wanaccm kindakindaki kama alivyokuwa Bashiri na Polepole .Hawa walitumika sana wakati wa mchakato wa katibu kutetea wasichokijua
 
He came, he sawa, he conqured!
 
Believe that and you'll believe anything!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…