Yuko wapi huyu muigizaji alikuwa fundi sana

Yaani unajitekenya halafu unacheka..kilichokukamatisha ni hizo picha Mkuu..mtu anaekutafuta hawezi kuwa na picha zako tena ziko clear hivyo. Haya bwana,raha jipe mwenyewe.
[emoji16][emoji16][emoji16] mkuu ili bidi uingie hata crime department au uwe detective umetumia saikolojia moja ndogo sana hapo ila ndo ukweli wenyew hapo. Unamtafuta mtu mpaka picha ya passport yake unayo? Unless mleta post awe anafanya kazi kweny photoshop studio.
 
Ni mmoja kati ya wahanga wa wajumbe!
 
wajuzi wanaweza kukujibu ila naona ile kazi pale mawingu ni cover tu yapo mambo ya nchi hii anayafanya
 
[emoji1787][emoji1787] mmenishinda, ati unamtafuta mtu ilihali unapicha zake clear kabisa.
So ni yeye anajipigia chepuo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…