Wow, mkuu seems tunatest moja ya mziki. Huu pia Ni my favorite infact hizi nyimbo mbili Tulia na songa mbele zinakuwaga on repeat na nyingine Ile ya Mr Paul chocolate na zuwena .Kuna mwingine huu wimbo duhh
Kumbe. Hizi nyimbo ziakumbusha memories hatarWow, mkuu seems tunatest moja ya mziki. Huu pia Ni my favorite infact hizi nyimbo mbili Tulia na songa mbele zinakuwaga on repeat na nyingine Ile ya Mr Paul chocolate na zuwena .
Huyu dada wa songa mbele V2 Ni mkenya jina lake halisi Ni Thitu Kariba namfatiliaga kwenye social media zake. Yuko hivyo hivyo hajabadilika sema aliacha kuimba.
Naaam huyu demu alikua kisu balaaa.... kaolewa nadhani anakaa kenyea huko sa hivi nilikuaga na ig yakeKuna mwingine huu wimbo duhh
Hivi sasa nasonga mbele. Maisha yangu bila ya wewe.Wow, mkuu seems tunatest moja ya mziki. Huu pia Ni my favorite infact hizi nyimbo mbili Tulia na songa mbele zinakuwaga on repeat na nyingine Ile ya Mr Paul chocolate na zuwena .
Huyu dada wa songa mbele V2 Ni mkenya jina lake halisi Ni Thitu Kariba namfatiliaga kwenye social media zake. Yuko hivyo hivyo hajabadilika sema aliacha kuimba.
mwache nshomile aaseeNa hiyo ya kwanza ndio nime reply kwa kusema unamudanganya kama ni yeye kwenye profile.
Hizi nyimbo zineleta kumbukumbu nzuri sana,nikekumbuka na wimbo wa Honey J feat spider-Nimetulia
Na sijui yupo wapi honey j jmn. Nimetulia ni wimbo mzur sn sichokagi kuusikilizaHizi nyimbo zineleta kumbukumbu nzuri sana,nikekumbuka na wimbo wa Honey J feat spider-Nimetulia