Makala ya Malcom X vitu vingi alikopi humu katika uzi fulani , pengine huenda ID yake ndio imeanzisha ule uziJamaa kuna baadhi ya story zake ni copy and paste kutoka jamii intelligent
Kila mtu na watu wakeJamaa anajua kuwashika wasiojua mambo hasa wanawake na watu wa uswahilini,
Hata hile Utata Wa Mwanamke Wa Isdal Yote 100% Amechukua Jamii Intelligent Na Kuna Uzi Wake Kabisa ..........Kifupi Jamaa Anapita Jf Anacopy Na KusepaMakala ya Malcom X vitu vingi alikopi humu katika uzi fulani , pengine huenda ID yake ndio imeanzisha ule uzi
Hakuna ubaya wowote aim ni kuelimishaHata hile Utata Wa Mwanamke Wa Isdal Yote 100% Amechukua Jamii Intelligent Na Kuna Uzi Wake Kabisa ..........Kifupi Jamaa Anapita Jf Anacopy Na Kusepa
Je, Kama ni yeye ila I'd fakeHata hile Utata Wa Mwanamke Wa Isdal Yote 100% Amechukua Jamii Intelligent Na Kuna Uzi Wake Kabisa ..........Kifupi Jamaa Anapita Jf Anacopy Na Kusepa
Kumbe na wewe uliligundua hilii hahahaha.Jamaa kuna baadhi ya story zake ni copy and paste kutoka jamii intelligent
Mambo yake si ndio story book auYupo na mambo yake...
Je kama anaongea na muhusika na anapewa go ahead ya kufanya hivyo ??Hata hile Utata Wa Mwanamke Wa Isdal Yote 100% Amechukua Jamii Intelligent Na Kuna Uzi Wake Kabisa ..........Kifupi Jamaa Anapita Jf Anacopy Na Kusepa
So kweli hajawahi fanya hivyoJe kama anaongea na muhusika na anapewa go ahead ya kufanya hivyo ??
Atakua karudi sasaYupo mbona, Jana tuu kapost 'BANGE'View attachment 2583427
Watanzania wengi ni wapumbavu, upumbavu ni kipajiWanaopenda hicho kipindi ni wale wasioelewa dunia inavyokwenda! Wanaamini stories za uongo na kuunga unga
Watanzania wengi wana kipaji cha upumbavuIla aliwakamata watu wa uswazii...wale wale wanaokamatwa kwny movies za kutafsiriwa [emoji23]
Sio kweli namjua toka anakua ,anasoma mpk Leo ,japo nna bifu na mama Ake mwadawa Kwa ushenzi na uchawi Wa yule mama lakini Kwa hili hapana nakataa sio shoga dogoUpinde wa mvuA? Yupo mbona
Sio Ni wapumbavu au jamaa Ni muongo isipokuwa Ni kwamba story nyingi za zamani ziko juu juu sana hazina evidence. Hivyo mtu huchukua source anayoona yeye Ina logic logicWatanzania wengi ni wapumbavu, upumbavu ni kipaji
Anza kumfatilia kwa ukaribu saaaaanaaaaaa,utaamini.Sio kweli namjua toka anakua ,anasoma mpk Leo ,japo nna bifu na mama Ake mwadawa Kwa ushenzi na uchawi Wa yule mama lakini Kwa hili hapana nakataa sio shoga dogo
Jamali kiasili ni mkimya Sana kama baba ake ila na mstaarabu mnooo!
Hana shida yule kijana
Msimizingizie jamni daahhh!!!hatari sanaa
Duhh.....kma ni hvyo Dunia imeisha aseehh....Anza kumfatilia kwa ukaribu saaaaanaaaaaa,utaamini.