Yuko wapi Jamal Mustapha wa The Story Book (Wasafi)?

Yuko wapi Jamal Mustapha wa The Story Book (Wasafi)?

Hata hile Utata Wa Mwanamke Wa Isdal Yote 100% Amechukua Jamii Intelligent Na Kuna Uzi Wake Kabisa ..........Kifupi Jamaa Anapita Jf Anacopy Na Kusepa
Je, Kama ni yeye ila I'd fake
 
Yupo mbona, Jana tuu kapost 'BANGE'
Screenshot_20230410-175202.jpg
 
Hata hile Utata Wa Mwanamke Wa Isdal Yote 100% Amechukua Jamii Intelligent Na Kuna Uzi Wake Kabisa ..........Kifupi Jamaa Anapita Jf Anacopy Na Kusepa
Je kama anaongea na muhusika na anapewa go ahead ya kufanya hivyo ??
 
Upinde wa mvuA? Yupo mbona
Sio kweli namjua toka anakua ,anasoma mpk Leo ,japo nna bifu na mama Ake mwadawa Kwa ushenzi na uchawi Wa yule mama lakini Kwa hili hapana nakataa sio shoga dogo
Jamali kiasili ni mkimya Sana kama baba ake ila na mstaarabu mnooo!
Hana shida yule kijana
Msimizingizie jamni daahhh!!!hatari sanaa
 
Watanzania wengi ni wapumbavu, upumbavu ni kipaji
Sio Ni wapumbavu au jamaa Ni muongo isipokuwa Ni kwamba story nyingi za zamani ziko juu juu sana hazina evidence. Hivyo mtu huchukua source anayoona yeye Ina logic logic

Ila ukweli Ni kwamba hadithi nyingi za kale haziku rekodiwa mahali popote.
 
Sio kweli namjua toka anakua ,anasoma mpk Leo ,japo nna bifu na mama Ake mwadawa Kwa ushenzi na uchawi Wa yule mama lakini Kwa hili hapana nakataa sio shoga dogo
Jamali kiasili ni mkimya Sana kama baba ake ila na mstaarabu mnooo!
Hana shida yule kijana
Msimizingizie jamni daahhh!!!hatari sanaa
Anza kumfatilia kwa ukaribu saaaaanaaaaaa,utaamini.
 
Anza kumfatilia kwa ukaribu saaaaanaaaaaa,utaamini.
Duhh.....kma ni hvyo Dunia imeisha aseehh....
Na km kweli ni choko baasii mtoto analipa dhambi za mama Ake
Maana bimkubwa Ake mshenzi mshenzi sana Wa kitaa!!
Yaani wakiskia mtaani watafurahi balaaa!!
Mama Ake mtata mkamilifu yeye ,tajiri yeye ,kutwa kucha kupeleka watu Polisi,kisa first born wake kazaa na mheshimiwa wa yuleeee after mwenda zake na b4 mwenda zake
 
Back
Top Bottom