Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kwahiyo kama ndivyo alikuwa akimbatiza nani?Akina variable,Mushambwa na akina Choice ama?What if John ndiye Mh Freeman Mbowe? Maana baada ya uchaguzi akapotea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kama ndivyo alikuwa akimbatiza nani?Akina variable,Mushambwa na akina Choice ama?What if John ndiye Mh Freeman Mbowe? Maana baada ya uchaguzi akapotea.
Kwa maelezo yako alijihusisha na uchaguzi wa chadema wamepita naye sisi tume-note tayari usizuge!Mmempeleka wapi? Yuko salama?
Kipara Mupya inawezekana unayomajibu mengi ya upotevu wa watu.Kwa maelezo yako alijihusisha na uchaguzi wa chadema wamepita naye sisi tume-note tayari usizuge!
Usizuge mzee tuambie chadema wamempeleka wapi?Tuambieni alipo na kama yu mzima
Wacha kuvuta bangi matokeo yake mchana unaona usiku!Kipara Mupya inawezekana unayomajibu mengi ya upotevu wa watu.
Mimi hata chai sinywi ndio ni hangaike na hayo makitu,ningekuwa huko huenda na mimi ningekuwa chawa,kwani chawa ubongo wao ama umeoza,umeozeshwa ama umevunwa.Wacha kuvuta bangi matokeo yake mchana unaona usiku!
Wewe endelea tu kuvuta kwa kujificha!Mimi hata chai sinywi ndio ni hangaike na hayo makitu,ningekuwa huko huenda na mimi ningekuwa chawa,kwani chawa ubongo wao ama umeoza,umeozeshwa ama umevunwa.
😅😅Hii itakuwa kitu cha Arusha bila shaka😎🤓
Mlale unono 🤣Mzee wa Dominika njema
Labda Herode kuondoka na kichwa chake!Kada wa chama chawala. Bingwa wa mada za kizushi kuhusu CHADEMA.. na bingwa wa kuandika kichwa cha habari kikuuubwa halafu maudhui sentence moja
Mada zake za mwisho zilihusu uchaguzi ndani ya CHADEMA akisimama upande uleule wa wazushi na kuandika kila aina ya uongo na uzandiki.. Baada ya napo alipotea mazima.. Ninini kimempata?
Alikuwa anakunywa sana visungura halafu anapozea na safari lager na alikuwa anakunywa mchana kutwa na alifika stage hataki kula anadai chakula kinakata stimu zake hadi nywele zilianza kunyonyoka,tumuombeeni member mwenzetu.Ulanzi huo huo ama?
alifika stage hataki kula anadai chakula kinakata stimu zake hadi nywele zilianza kunyonyoka,tumuombeeni member mwenzetu. ..😂😂😂 parapanda italiaAlikuwa anakunywa sana visungura halafu anapozea na safari lager na alikuwa anakunywa mchana kutwa na alifika stage hataki kula anadai chakula kinakata stimu zake hadi nywele zilianza kunyonyoka,tumuombeeni member mwenzetu.
Kwahiyo alikuwa akiteketeza mafao yake kwa namna hiyo?Alikuwa anakunywa sana visungura halafu anapozea na safari lager na alikuwa anakunywa mchana kutwa na alifika stage hataki kula anadai chakula kinakata stimu zake hadi nywele zilianza kunyonyoka,tumuombeeni member mwenzetu.