Ni kipindi kirefu sana sijamuona, nafikiri mara ya mwisho kumuona ni kwenye kikao Cha kamati kuu kilichoteua sekretarieti mpya mwezi wa kwanza mpaka leo sijamuona wala kumsikia popote na sio kawaida yake. Yupo wapi mzee wetu?
Mimi FPT natamani kumsikia kwenye majukwaa tena.
Mimi FPT natamani kumsikia kwenye majukwaa tena.