Akafie mbele in jpm's voiceWakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akafie mbele in jpm's voiceWakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Utakufa kwa roho yako mbaya Dr.Bashiru anashida gani mtu anakula mafaoAnaona aibu na anajuta kukubali uteuzi wa kuwa katibu mkuu wa CCM na hatimaye kuwa katibu mkuu kiongozi aliyehudumu kwa mwezi mmoja na siku kadhaa kwa aibu anayojisikia naamini anatamani hata dunia mwisho wake ufike haraka.
Yupo kwao bukoba anajifunza kupiga mbizi maana ndiyo kazi aliyobakia nayoWakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Unaongea as if ww ndo Samia..acheni ujuaji wabongo hausaidiiYeah ndio alikuwa ana dictate wafanye interim commitee yeye ndio awe rais wa mpito hadi uchaguzi baada mwaka 1....njaa mbaya sana heti afunge domo akija kuropoka watamchafua hatarudia tena....yule ndio alimpangia SSH aende Tanga ili akijua mwendazake ameshatangulia ilawa siri na wakachota pesa za matibabu kujifanya bado mzima......ipo siku tutajua yote na umma utaelewa mabaya yote aliofanya mxalendo huyooo hahahhah
Wamwangalie sana huko aliko anaweza kujinyongaAnaona aibu na anajuta kukubali uteuzi wa kuwa katibu mkuu wa CCM na hatimaye kuwa katibu mkuu kiongozi aliyehudumu kwa mwezi mmoja na siku kadhaa kwa aibu anayojisikia naamini anatamani hata dunia mwisho wake ufike haraka.
Mpaka leo anaota maruweruwe na jengo la ikulu tuHatakaa amini kilichotokea
Ualimu Udsm ulifika mwisho na umatibu Mkuu ukafa.Yupo kwao bukoba anajifunza kupiga mbizi maana ndiyo kazi aliyobakia nayo
Ole wake amtumainiye mwanadamuDr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.
Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.
Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!
Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Mwache ateseke na sukuma gang wenzake
Timu Gaidi ndiyo hawampendi aliwanyoosha mpk Leo wanapga miayoKwanini Bashiru haeshimiki kama Kinana na Makamba
hakika..nimeamini pia kifo ni for reallyIla kifo Cha Magufuli kimetufunza mengi
Ni wabunge wa kuteuliwa. Kwa huruma tu vinginvyo wangekuwa jela.Hivi Bungeni anajisikiaje yeye na polepole
Kwanza kubakia dar tu ni heshimaNjoo ubungo msewe unamwona na ka vits chake kile .
Kutoka v8 hadi vits akili lazma ipuyange kidogo
Bila kumsahau na ChakubangaHaamini hataamini kamwe....Jiwe alimpa kibri cha binadamu akamsahau hata Mola wake.....acha avune alichopanda....mpuuzi mkubwa
timu gaidi ndio ilimtimua ikulu🤣🤣Timu Gaidi ndiyo hawampendi aliwanyoosha mpk Leo wanapga miayo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mungu ni mkubwa sanaUalimu Udsm ulifika mwisho na umatibu Mkuu ukafa.
Mungu hamfichi mnafiki
Sa hivi kakonda hadi ile barakashia haikai tena kichwani imeonekana kubwaKwanza kubakia dar tu ni heshima