Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

ccm inautaratibu wakimandishi na usiowakimandishi ,akijibu swali la nguli kwenye tasinia ya habari nchini Tido muhamdo
Lililosema kwamba kwann mgombea urais ccm apite bila kupingwa ndani ya chama ni utaratibu upi umetumika

Baada yahapo Tido alijikuta kwenye kesi ya uhujumu uchimi akiwa mkurugenzi Tbc

Kauli yake nyingi
Watoto wangu wananishauri kuachana na ukatibu mkuu Mana natukanwa kweli kweli mitandaoni
Kwasasa sambili usiku kajifungia ndani kabisa
 
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.

Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.

Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!

Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Alidumu muda gani kwenye ukatibu Mkuu kiongozi
 
Haamini hataamini kamwe....Jiwe alimpa kibri cha binadamu akamsahau hata Mola wake.....acha avune alichopanda....mpuuzi mkubwa
Nobody expected Magufuli to die within a short span of days
 
Yule sidhani kama atakuja kurudi katika hali yake ya kawaida. Mtu aliyefikia hatua ya kutishia kumfukuza kazi Waziri na Msajili wa vyama akiwa KM wa chama na kupanda hadi kuwa KMK leo kujikuta yuko bungeni bila jimbo anapitia sonona iliyoenda shule.
Kamugumya maana yake Ni kwa Kihaya...
 
Cheo ni dhamana tuu , ila wapuuzi tuu ndio wanaumia wakikipoteza , akafundishe ndio kazi yake
 
Yaani bado ana wenge la kutoamini....alishaona yeye next President akawa hamtaki SSH wasigine Katiba qibu sana uchu wa madaraka wanajifanya wazalendo mavi hao kidogo tu true color ikaonekana
Yes, Bashiru na Polepole walishaanza kuwa na mawazo kuwa Jiwe might choose one of them as a candidate for the next presidency, though one can not say for certainity if Magufuli would have relinquished power after his constitutional presidency terms end
 
Back
Top Bottom