Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua kwao burundiWakuu huyu Mheshimiwa amekuwa kimya sana.
Yupo wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru.
Njoo ubungo msewe unamwona na ka vits chake kile .
Kutoka v8 hadi vits akili lazma ipuyange kidogo
Acha uongo bana....Mbona binti yake Halima anaendesha RAV 4
Mbona hii ni habari nyingine mkuu, wao wanamuongelea Bashiru, siyo binti yake.Acha uongo bana....Mbona binti yake Halima anaendesha RAV 4
Arudi JALALANI akafundisheDr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.
Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.
Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!
Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Utu wake umetweza jambo jema kabisa kwa sababu alijisahau wakadhaninwanawafokea watoto yeye na jiwe,,, ila pesa atakuwa nayo labda kama alikuwa anahonga,,wangemfukuza na ubunge kbx akale chaki pale Jalalani UdsmAnaona aibu na anajuta kukubali uteuzi wa kuwa katibu mkuu wa CCM na hatimaye kuwa katibu mkuu kiongozi aliyehudumu kwa mwezi mmoja na siku kadhaa kwa aibu anayojisikia naamini anatamani hata dunia mwisho wake ufike haraka.
CV yake iko vizurie!Kumbe Ghalibu Bilali mtaalam wa nyukilia aliyegeuka mbeba mkasi wa kukata tepe za uzinduzi alikuwa Bora kuliko huyu Muha!
HaaaaaKumbe Ghalibu Bilali mtaalam wa nyukilia aliyegeuka mbeba mkasi wa kukata tepe za uzinduzi alikuwa Bora kuliko huyu Muha!