Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

Wale watu wawili walijisahau mapema sana!! Waliwadharau maccm wa zamani wakaleta wapya kwa manunuzi, waliwatukana waliokuwa viongozi ccm wakidhani kuwa wao ndio wenyewe, walifurahia wapinzani wakisambaratishwa, Slowslow alitamka kuwa “CCM mpya wanatembea na V8 hata wale walio kwenye mitaa! Unachezea ccm”
Leo yuko wapi slowslow aliyekuwa akizunguka mikoa akinunua wapinzani kwa mtutu wa bunduki
Bashiru alisema watatumia dola kushinda na kweli walitumia dola kushinda mpaka kupitiliza, ikalwta aibu mpaka ikabodi kununua tena Covid 19 kutoka Chadema, maadui wakuu wa ccm!!
Lakini wao walidhani wangebakia juu kumbe hawakufaidi!
Bashiru na Slowslow
Sabaya na makonda
Ndugai na ..,,,,,,
Wataje wengine wengi wanaostahili malipo hapa hapa duniani
 
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.

Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.

Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!

Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Arudi JALALANI akafundishe
 
Anaona aibu na anajuta kukubali uteuzi wa kuwa katibu mkuu wa CCM na hatimaye kuwa katibu mkuu kiongozi aliyehudumu kwa mwezi mmoja na siku kadhaa kwa aibu anayojisikia naamini anatamani hata dunia mwisho wake ufike haraka.
Utu wake umetweza jambo jema kabisa kwa sababu alijisahau wakadhaninwanawafokea watoto yeye na jiwe,,, ila pesa atakuwa nayo labda kama alikuwa anahonga,,wangemfukuza na ubunge kbx akale chaki pale Jalalani Udsm
 
Kumbe Ghalibu Bilali mtaalam wa nyukilia aliyegeuka mbeba mkasi wa kukata tepe za uzinduzi alikuwa Bora kuliko huyu Muha!
 
Back
Top Bottom