Daviie
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,294
- 1,480
Nimeahtuka, nilianza kujiuliza Alikibakuli kapotea lini tena wakat juz alikuwa Kenya kwa Joho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi anajiita King Kiba au Mr Kipusa .Habarini Wadau,
Leo katika moja ya igizo la hapa nchini nimefanikiwa kumwona Nyamayao, msanii mahiri aliyeanza uigizaji akiwa binti mdogo kabisa ila kwasasa amekuwa mwanamke hasaa.
Baada ya kumwona nikamkumbuka dogo mmoja alikuwa akiigiza naye aliitwa Kibakuli. Mara nyingi waliigiza kama watoto wa Mhogo mchungu na igizo lilirushwa na ITV.
Huyu dogo kapotelea wapi? Bado anaigiza?
Wewe utakuwa unamzungumzia nyampara kama sijakosea...Naskia alifariki. Si ndo yule aliigiza kwenye igizo la Fukuto ITV mamake bi mwenda walikuwa wanaigiza kama watoto wa wachawi.
Sema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.Wewe utakuwa unamzungumzia nyampara kama sijakosea...
Yeah huyo alivuta kitambo sana...Sema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.
We unasemea mopelo, huyo ndo alifarikiSema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.
huyu mnaemzungumzia ni mlopeloSema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.
Sio huyo mkuu.Naskia alifariki. Si ndo yule kibonge flan hivi cheupe aliigiza kwenye igizo la Fukuto ITV mamake bi mwenda walikuwa wanaigiza kama watoto wa wachawi.
Basi nimewafananisha [emoji17] mwenye picha yake aiwekeSio huyo mkuu.
Yule aliyekuwa na red eyes alishadanja ila Kibakuli ni mwingine mkuu
Kweli mkuu.Huyu hapa japo hii sio picha ya hivi karibuni, alipungua ule unene baada ya kuwa mtu mzima. Atakuwa anapiga mishe nyingine apart from kuigiza ila kiukweli alikuwa na kipaji. Ila kipindi kile walikuwa hawapati hela kabisa japo walikuwa wanafanya juhudi kubwa, anyway tutaendelea kuwakumbuka View attachment 652547
Unachanganya Mlopelo na Kibakuli. Mlopelo Marehemu. Kibakuli yupoSema picha yake google haipo ila namfahamu jamaa. Kabonge kafupi cheupe na ana matatizo ya macho. Na taarifa za msiba alizirusha zamaradi clouds tv kupitia take one.