Yuko wapi Lowassa? Kwa kweli tumem-miss sana kwenye siasa za Tanzania

Yuko wapi Lowassa? Kwa kweli tumem-miss sana kwenye siasa za Tanzania

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
1684904397883.png


1684904492699.png


1684904668162.png


Hebu tutupie hapa mchango wake kwenye siasa na maendeleo ya nchi yetu!
Kikubwa ninachokikumbuka ni uthubutu wake wa kusimamia uletaji wa maji Dodoma toka ziwa victoria. Haikuwa rahisi!! Ilibidi kuvunja mikataba ya kimataifa iliyokuwa inazuia kuvuta maji toka ziwa victoria! Uthubutu wake uliwezesha jambo hili. Leo Jiji la Dodoma ni full kijani kibichi, si jangwa tena! Vijana wengi hawalijui hili kuwa hizo ni juhudi za Lowasa!!

Usafiri Dar-es- Salaam (UDA), ni juhudi za Lowasa!! Kulikuwa na mabasi mengi yaliyokuwa yanahudumia usafiri Dar-es-Salaam. Bei ya nauli ilikuwa shilingi moja (01). Baada ya kuonekana kuwa hayo mabasi ya UDA hayakutosheleza mahitaji ya usafiri wa Dar, wenye mabasi binafsi walikuwa wanabeba watu kwa shilingi tano (5) au Dala!! Shilingi 5 kutokana na umbile lake/shape yake ilikuwa inaitwa dala, na mabasi yale yalikuwa yanatoza shilingi tano tano yaani dala dala. Lakini ilikuwa ni kinyume cha sheria maana hiyo bei ya shilingi tano haikuwa rasmi, ni ukiukaji wa sheria zilizokuwepo na matrafiki walikuwa wanawakamata na kuwasumbua. Hapo ndipo namkumbuka tena Lowasa, alipohalalisha hayo mabasi ya watu binafsi na kuhalalisha hiyo bei ya dala dala. Wenye mabasi hayo wakafanya kazi bila usumbufu na likawa suluhisho kwa tatizo la usafiri Dar enzi hizo. Hicho ndiyo chanzo cha mabasi yanayoitwa dala dala hadi leo, japo nauli si dala tena!! Hayo ni machache miongoni mwa mengi!! Tujifunze kuwaenzi wazee wetu wakiwa wangali hai, hiyo itawaongezea miaka ya kuishi!! Karibuni hapa tueleze mchango wa Lowasa kwenye nchi yetu!!​
 
Lawasa akifuatilia kitu lazima kitendeke!! Ni mtu wa kutafuta suluhisho kwa wakati, ukiwa mvivu utapata taabu sana kufanya kazi na Lowasa!!
 
Lowasa was a very tough Prime minister!! Anaweza kuzidiwa na Sokoine tu!! Sokoine huyu hapa!!

1684909019566.png

Totally uncompromising Prime Minister!! Wahujumu uchumi hawana hamu naye!! Walikuwa radhi kutupa porini viroba vya mamilioni ya pesa kuliko kukamatwa na Lowasa!! Hiyo sura ni sura ya kazi!! Wazurulaji Dar enzi zake hawatamasahau!! Ilikuwa ni marufuku nguvu kazi kubaki inazurula Dar!! Wazurulaji walikamatwa na kwenda kupewa mashamba bure huko gezaulole ili wafanye kazi. Wale wajinga walitoroka tena na kukimbilia miji mingine!! Waliokuwa na akili zako zoezi hilo liliwatoa kimaisha hadi leo!!
 
1684909511322.png


Huyu ndiye Edward Moringe Sokoine Waziri mkuu wa Tanzania enzi hizo!! A very tough guy!!

Edward Sokoine Moringe (August 1, 1938 to April 12, 1984) was a politician from Tanzania who served as Tanzania's Prime Minister for two terms, the first one starting on February 13, 1977 up to November 7, 1980, and the second one between February 24 1983 and April 12, 1984.
 
Lowasa ndiye waziri mkuu pekee hadi sasa ambaye kwa kiasi fulani aliweza kuvivaa vizuri viatu vya Sokoine kama waziri mkuu!! Tunampongeza kwa hilo!!
 
Lowasa was a very tough Prime minister!! Anaweza kuzidiwa na Sokoine tu!! Sokoine huyu hapa!!

View attachment 2633024
Totally uncompromising Prime Minister!! Wahujumu uchumi hawana hamu naye!! Walikuwa radhi kutupa porini viroba vya mamilioni ya pesa kuliko kukamatwa na Lowasa!! Hiyo sura ni sura ya kazi!! Wazurulaji Dar enzi zake hawatamasahau!! Ilikuwa ni marufuku nguvu kazi kubaki inazurula Dar!! Wazurulaji walikamatwa na kwenda kupewa mashamba bure huko gezaulole ili wafanye kazi. Wale wajinga walitoroka tena na kukimbilia miji mingine!! Waliokuwa na akili zako zoezi hilo liliwatoa kimaisha hadi leo!!
Lkn Yeye akatuhuhumu!.Nikiona Kiongozi anajifanya mkali sana na mali za umma huwa nakuwa na Wasiwasi,mara nyingi anakuwa mpigaji mkubwa na anataka Kula peke yake.
 
Back
Top Bottom