GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #101
Mkuu na Mtani wangu nimecheka sana tu kwani umenipiga 'Dongo' la maana. Napenda mno Utani na Kuwatania Watani zangu wakubwa Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu, Warangi, Wanyamwezi na Wakara.Mtani akitaniwa je naye asijibu utani??---- wewe huoni hicho kicheko katika majibu yangu??!!, hicho ni kicheko cha utani tu isitoshe lini Kigoma ilikuwa ni nchi??!, hayo yote ni mambo ya utani tu,🤣🤣.
Wewe ndiye uliyezaliwa juzijuzi usiyejua jinsi utani unavyokolezwa.
Huyo Gentamycine ni Mzanaki na ndio maana ni mshamba kama Baba wa taifa alivyokuwa.🤣🤣🤣
Covid 19 ikiingia mpaka kwenye mapafu ujue hapo imeshaweka madhara mwili mzima, Organs nyingi zinakuwa zimeathiriwa, Tuchukue tahadhari Covid ni ugonjwa hatari, kwa baadhi ya watu, na huwezi kujua hao baadhi ya watu itakuwa ni akina nani !!Huyu Mzee kiukweli toka atoke kuumwa Covid hajakaa sawa...kitalaam alipaswa kupumzika..Afya yake toka ameumwa ile Covid sijaona kama inafanana na alivyokuwa...
Wanasema Covid 19 ikikushambulia mpaka kufikia hatua ya kupata tatizo la upumuaji, huwa imefanya damage kubwa kwenye organs mbalimbali mwilini.Huyu Mzee kiukweli toka atoke kuumwa Covid hajakaa sawa...kitalaam alipaswa kupumzika..Afya yake toka ameumwa ile Covid sijaona kama inafanana na alivyokuwa...
Umeanza chokochoko!!!Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa ( Alhamisi ) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo ( tunae hapa JamiiForums ) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Kabisa maana alikuja kwa kasi sanaAtakua kakumbushwa yeye ni Makamu wa Rais
Mimi mwenyewe nilimshangaa....nadhani alikuwa haijui mipaka yake kwenye katiba ya 77??Jamaa alikua anatoa matamko na maagizo mbele ya Rais
Unamtafutia nn wakati rais wa nchi yupoDaa, kazi kweli kweli nimemsahau kama huyu kiongozi yupo!!
Subiri kwenye mfungo utamuona akikagua bei ya vyakula kwenye masokoJuzi nimemuwaza pia nikajiuliza Makamu wetu yu wapi?
Hako kadudu kwa no 2 si kutenda miujiza Asprin .Huwezi jua kale kadudu ka 19 si wamesema kamerudi kwa staili mpya? Unaweza kukuta kameshatenda miujiza...
Hakana utani na vigogo kale kadudu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama Mtani wangu Muha yuko basi ni Faraja kubwa sana Kwangu Mkuu. Tafadhali Mkuu kama una Picha zake zozote labda za katika hilo Kongamano la Zoom la Jana hebu niwekee hapa ili nimuone tu na niridhike kwani nilishaanza Kuogopa na Kuikumbuka Hospitali moja hivi Makumbusho Dar es Salaam.
Duh, zinasikitisha kumbukizi hizi mkuu,Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Ndugu Itovanilo ,wewe mbona umeandika kama "muongo wa taifa" ambaye pia ni mmiliki wa timu ya mpira wa miguu huko "kuthini"!!??Yupo anapiga kazi,yule ni makamu wa Rais huwezi kutana naye magomeni au kariakoo kirahisi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Watu huwa wanaambiwa, "achana na huo mpango au upatwe na ajali wewe na familia yako?".Wewe 'Raia' hujuhi kitu, subiri taarifa uone meza zinavyopinduliwa.
kutoka kwa VP si lazima 'Kifo'
what if akasema ame resign??
viongozi wanapitia wakati mgumu sana, raia hawajuhi tu.
kuna kulogana na kufitiana.
Wasaidiane wote kazi isije ikatokea ghafla nae aanze visingizio vya awamu zilizopitaYupo anapiga kazi,yule ni makamu wa Rais huwezi kutana naye magomeni au kariakoo kirahisi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]