nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Baba yako unajua alipo?mtafute baba yako kwanza achana na baba wa watu wengine!!Kama kumuulizia Mtu (tena Kiongozi wangu Makamu wa Rais) ni Upumbavu (Foolishness) basi sawa ila kwakuwa Wewe ni Mwerevu (Einstein) nitashukuru ukiniambia tu alipo Mtani wangu wa Kiha Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango.
Basi subiri hiyo Alhamisi utamwonaKama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Kwa muktadha wa katiba yenu, mna haja ya kufahamu alipo.Unamtafutia nn wakati rais wa nchi yupo
Wakara mtuache. Mimi ni Mkara lakini nimewahi kuwa mkurugenzi wa UNGO pale Moro, nimewahi kuwa CR wa wanafunzi wa agribusiness pale SUA, vilevile nimewahi kwenda Ethiopia kikazi mara mbili mfululizo. Sasa ushamba wa wakara unatoka wapi? Acha dharau .Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )
Unawezaje kuwaita wanyamwezi washamba, wakati hadi wamarekani weusi wanaitwa 'wanyamwezi', au mtu akiwa ametoka mbele anaitwa "mnyamwezi", au mtu yoyote mjanja anajiita "mnyamwezi". Sasa kuna mtu mjanja atajihusisha na ushamba?Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )
We muache!Anajiona kajificha sana hapa
Ukiumwa na nyoka hata ujani utaukimbiaHuwezi jua kale kadudu ka 19 si wamesema kamerudi kwa staili mpya? Unaweza kukuta kameshatenda miujiza...
Hakana utani na vigogo kale kadudu
Gentamycine unaonekana unakubali mno kazi ya Netanyahu ndio maana umeweka kwenye avatar! Ni vizuri, wewe akili kubwa, na yeye ni akili kubwa.[emoji106][emoji106][emoji106]Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.
Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.
Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
Makamu wa rais ni ceremonial figure mkuu....sio mtendaji....kuwepo kwake au kutokuwepo kwake hakuathiri kitu chochoteKwa muktadha wa katiba yenu, mna haja ya kufahamu alipo.
Ndugu Itovanilo ,wewe mbona umeandika kama "muongo wa taifa" ambaye pia ni mmiliki wa timu ya mpira wa miguu huko "kuthini"!!??
Mkuu nimecheka sana....alizindua lift?Nakumbuka enzi Bilal akiwa makamu alikuwa bingwa wa uzinduzi wa majengo na semina. Nakumbuka aliwahi kuzindua lift kwenye jengo moja Mbeya kule...
Nadhani vidole vyake viliota sugu ya mikasi...
Ceremonial figure aah 😳!!.Makamu wa rais ni ceremonial figure mkuu....sio mtendaji....kuwepo kwake au kutokuwepo kwake hakuathiri kitu chochote
.Ujio wa Nchimbi ambaye mwanzoni alitanabaishwa kuwa makamu..
uwepo wa inachosemekana Sgang, na Makamu wa sasa kuhusishwa..
kutokukubalika kwa makamu ndani ya team msoga (Wahuni vs Washamba/wakuja).
na mengineyo kama hayo kumefanya nguvu yake ipungue na kuna mkakati kabambe wa kumuondoa.
lakini ni mpe onyo/angalizo SSH.
Lolote litakalo fanyika kwa Mpango basi atalipiziwa mara 7 kwake.
kuna mission y chini chini inaendelea inawahusisha viongozi 3.
kama ikifanikiwa watanzania hawatakaa kuamini.
Niishie hapo.
😂watu wana roho mbaya sana aisee, alimtesa sana mzee wa watu bado kidogo angefia live mbele ya makamera.Nakumbuka mwendazake alimtoa hospitalini ili aongee kuthibitisha yuko salama. Mzee alikohoa mpaka akatia huruma...
Ushamba wetu wanyamwezi ni upi?Na 'Washamba' wengine nje ya Waha ( Kigoma ) ni Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Warangi ( Dodoma ), Wanyamwezi ( Tabora ) na Wakara ( Ukerewe Mwanza )
MimiHivi kulingana na katiba ya 77 ni nani mwenye haki ya kumpokeza kijiti kama ikitokea anajiuzuru?