Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

+
Huko unapobeba box hakuna makamu wa rais mkuu wangu??? Hv makamu wa rais wa US anaitwa nani vile....nakatiba yao ndo mnaipigiaga mfano dunia nzima.
 
Mjomba yupo. Maana ni juzi tu ameongea na Dada yake na nikamsikia akisema gem ngum maana yeye kazoea RNB Sasa SINGELI bado hajaipata ipasavyo. Ila nikasikia anakomaa hivyo hivyo
 
Unataka MR akazurure Magomeni? Aende Kariakoo? MR yupo anachapa kazi ...

In Katelephone Namungo's voice🤣🤣
 
Alitoa ushuhuda chini ya uangalizi maalum kama mzee wetu Assad?

Assad anasifiwa kwa kuwa shujaa, mimi najiuliza siku ile pale Magogoni alipatwa na nini alipokataa Mbele ya Jiwe kuwa zile 1.5 trillion shillings kwenye report yake kama CAG hazikupotea kama wengi walivyokuwa wanaeneza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…