Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Huyu jamaa alivuma sana na ngoma alizoshirikiana na ngoma na Marehemu Ngwair kama vile demu wangu na Mitungi.
Kuna muda wakawa na mgogoro ambapo ilisemekana Mchizi mox ndiye aliyeandika wimbo wa mitungi, Ngwair akaupenda akamwachia kwa makubaliano flani ambayo Ngwair hakutimiza.
Ngoma yake peke yake iliyohit ni chupa nyingine ambao aliutengeneza Ramar na baada ya hapo sikumsikia tena.
Kuna muda wakawa na mgogoro ambapo ilisemekana Mchizi mox ndiye aliyeandika wimbo wa mitungi, Ngwair akaupenda akamwachia kwa makubaliano flani ambayo Ngwair hakutimiza.
Ngoma yake peke yake iliyohit ni chupa nyingine ambao aliutengeneza Ramar na baada ya hapo sikumsikia tena.