Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekaa chadema madili angepiga wapi?Huyu Mch ameshakula pesa ya Samia.
Sasa bili analipaje iwapo haongei?
Ndiyo maana Chadema inakimbiwa na watu mnaodhani Samia atawapa hela, mkifika mnakuta hakuna hela mnakaa kimya kama msigwa?Huyu Mch ameshakula pesa ya Samia.
Sasa bili analipaje iwapo haongei?
Uongo.....Msigwa kashakula vya mjinga. Sasa mtamfukuza? Hela kashapigaNdiyo maana Chadema inakimbiwa na watu mnaodhani Samia atawapa hela, mkifika mnakuta hakuna hela mnakaa kimya kama msigwa?
Anajiandaa kurudi CHADEMA at the right time!Huyu Mch ameshakula pesa ya Samia.
Sasa bili analipaje iwapo haongei?
Huyu Mch ameshakula pesa ya Samia.
Sasa bili analipaje iwapo hao
Msigwa si kiongozi, unataka aongee nini na kwa platform gani? anasuniri kupangiwa KAZI baada ya uchaguziHuyu Mch ameshakula pesa ya Samia.
Sasa bili analipaje iwapo haongei?
Hehehe!!!Huyu Mch ameshakula pesa ya Samia.
Sasa bili analipaje iwapo haongei?
kiendacho kwa mganga hakirudiAtaweza kurudisha hela za watu?
Alipokuwa anazunguka nchi nzima na kupanda majukwaani, alikuwa akiongea kama nani, na sasa yupo kimya, amekuwa nani?Oa vee
Msigwa si kiongozi, unataka aongee nini na kwa platform gani? anasuniri kupangiwa KAZI baada ya uchaguzi
Pale alikuwa anauhabarisha umma kuwa sasa ameachana na timu daraja la tatu, amejiunga na timu daraja la kwanza, timu ya Tanzania Revolutionary Part aka CCMAlipokuwa anazunguka nchi nzima na kupanda majukwaani, alikuwa akiongea kama nani, na sasa yupo kimya, amekuwa nani?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hatutaki condom iliyo tumikaMsigwa amekuwa mithili ya Condom kwa CCM.
Washamailiza shughuli nae, kwa sasa hana faida yeyote. Ni swala la muda tu atarudi CHADEMA.
Imeshakuwa recycled, ndyo maana ina ng'aa kijaniHatuta
Hatutaki condom iliyo tumika