Sio tu kutelekeza na kumfilisi piaMara ya mwisho nilimsikia pauline zongo analalamika jamaa kamtelekezea mtoto
So mwana anapenda kufilisi wanawake!!! Kuna mdau pia hapo juu kasema jamaa alimfilisi jimama fulaniSio tu kutelekeza na kumfilisi pia
Sio anapenda ni limarioo liliokubuhu mjini...afu huwa ana lafudhi ya kikongo sidhani kama ni mtanzania yule..So mwana anapenda kufilisi wanawake!!! Kuna mdau pia hapo juu kasema jamaa alimfilisi jimama fulani
Yule Dada Maisha yake yanasikitisha,niliwahi kumuona YouTube huko,Wanaume tunakwama sanaSio anapenda ni limarioo liliokubuhu mjini...afu huwa ana lafudhi ya kikongo sidhani kama ni mtanzania yule..
Pauline Zongo maisha yake yameharibika kwa ajili ya yule jamaa asee
Umri ule bado anakula migahawani mungu kiponye kizazi cha burudani TanzaniaYupo kigamboni,kuna mgahawa moja pale Geza hua anapenda sana kwenda kula
Atakuwa south korea akitengeneza ndegeHuyu msanii jina lake halisi silijui ila alikuwa na heka heka sana enzi hizo. Mara ya mwisho alikuwa anaishi Sinza kwa jimama moja kama marioo na alimfukuza kwake baada ya kufilisi duka alilomuachia.
Huyu msanii alikuwa muongo sana na mjivuni kuna interview yake moja pale Channel Ten alidai yeye alisomea masuala ya utengenezaji wa ndege kule South Africa.
Je huyu msanii yuko wapi kwa sasa au amerudia kazi yake ya uganga wa kienyeji.