Yuko wapi msanii "Mtunis"?

Yuko wapi msanii "Mtunis"?

Kuna Tamthilia ilikuwa inaoneshwa azamtv inaitwa ndoano alikuwa kama main character ya mwaka huu huu
 
  • Thanks
Reactions: ABJ
nakumbuka alihojiwa kipindi cha nyuma akaulizwa kuhusu maisha akasema ana nyumba kali anajenga lakini pia ni baba wa watoto wawili na ana supermarket mjini dsm hapa.

sema rafudhi yake ilikuwa kama ya watoto wanaosomea IST[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Anajipodoa sana yule bwege itakuwa amefichwa na wamama au mwarabu mmoja kampeleka Dubai maana ndio mambo yao siku hizi.

Ukisikia mtu analelewa na jomama ovopa sana wengi huwa mapunga wwnauzwa na wale wamama sema anajifanya yule mama ndio mtunwake ili kuficha ungese wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aende upanga atamkuta amejaa telee.
 
kuna mmoja pia alikuwa msanii wa bongo muvi mweupe hivi kakaa kiupole sana..
naskia alikuwa anabadili demu kwa siku mara 3 km dozi ya asprini (sorry mzee asprin).
hadi mwenyekiti wa mtaa na balozi waliitwa na mwenyenyumba waje kumuonya!!simkumbuki jina ila uzi wake uko humu niliusoma.

na yule jamaa mwingine jina lake la kitajiri kila guest huko daslam walikuwa hawataki kumkodishia room sbb alikuwa anazichafua kwa majitaka ya mtaroni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu nyie, uwiiiiih
 
Sio anapenda ni limarioo liliokubuhu mjini...afu huwa ana lafudhi ya kikongo sidhani kama ni mtanzania yule..

Pauline Zongo maisha yake yameharibika kwa ajili ya yule jamaa asee
Wanawake wa mjini si wanapendaga wauza sura

Ova
 
Mara ya mwisho nilisikia yupo Ukraine, sasa umepita kama mwezi mmoja hivi
 
Back
Top Bottom