kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Acha Uongo OTEN Yupo Morogoro!!! Ni Mteja Napishana Nae Daily Kwa BakiYupo TUKUYU
daaaaah, kwa hiyo simba wa Moro naye anabeti siku hizi. Kweli vyuma vimekaza. Hawa watu sijui huwa wanakoseaga wapi! 20% naye sijui atakuwa na hali gani sasa hivi.OTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Yah! Bro Last time nilimkuta office za Premier Betting Pale Sabasaba! Alikuwa Ana Claim Mkeka Wake Umeshinda Anachelewa Kulipwa!!!daaaaah, kwa hiyo simba wa Moro naye anabeti siku hizi. Kweli vyuma vimekaza. Hawa watu sijui huwa wanakoseaga wapi! 20% naye sijui atakuwa na hali gani sasa hivi.
Demu bado mpo nae hadi leo kama mke au ndo yaliishia huko hukoAiseee wapi O ten na East Coast team tunamiss mziki mzuri nakumbuka seminary ebu nicheki ilinipa manzi wa St. Mary goreth old is gold
una kipaji cha kutunga uongoOTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Sawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??una kipaji cha kutunga uongo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] afu we jamaa bhanaOTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Daaaaah umetisha sana mzee babaSawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.
Huo Ndio Ukweli! Nilikuwa Nae Kwenye Kulipwa Mikeka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] afu we jamaa bhana
Kwamba mmoja anakula weed mwingine anatandaza mikeka tu
Baba Tunda amekuwa wa kubet?Huo Ndio Ukweli! Nilikuwa Nae Kwenye Kulipwa Mikeka
Ndio Hivyo Mkuu! Mim Nilikuwa Nae Ofisin Pale Sabasaba Tukawa Tunalalama Tunachelewa Kulipwa! Na Yeye Alikuwa Na Mkeka Wake!!!Baba Tunda amekuwa wa kubet?
...kifupi ni starehe....Napenda sana mademu....Napenda sana pombe yaaan kiufupi napenda kujirusha.....
Kwa mistari hiyo unategemea mtu kama huyo awe wapi muda huu?
Unaunguza picha ujue!Sawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.