Kikazi ama?Yupo TUKUYU
aaaah aaah nimekusoma mkuu. NakaushaUnaunguza picha ujue!
Inaumiza sanaOTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Yah! Bro Last time nilimkuta office za Premier Betting Pale Sabasaba! Alikuwa Ana Claim Mkeka Wake Umeshinda Anachelewa Kulipwa!!!
Wanapenda Sana RushwaKa office kana usumbufu sana nlikuwa nampiga sana mhindi lak 3 na 2 had uwape rushwa ndo watoe pesa la sivyo utazungushwa mbaya moro bana nimejifunzia kubet Sua hiyo daaa
Asante Mkuu! Inshort Ni Teja! Nakutana Nae Sana Huku TumbakuYupo moro kuna siku nilimuona maeneo ya soko kuu kabla wavunje anatembea kifua wazi. Kachokaaa
Mkuu hukwenda kigoma? Uliamua kubaki moro?OTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Mkuu Kigoma Nilienda Maisha Sikuyaelewa Kabisa Ya Ule Mkoa Nikahamishiwa Mtwara Ligula!! Sema Morogoro Nyumbani Na Kazi Zangu Za Msimu Muda Mwingi Nakuwa MoroMkuu hukwenda kigoma? Uliamua kubaki moro?
mzee wa uvinzaMkuu Kigoma Nilienda Maisha Sikuyaelewa Kabisa Ya Ule Mkoa Nikahamishiwa Mtwara Ligula!! Sema Morogoro Nyumbani Na Kazi Zangu Za Msimu Muda Mwingi Nakuwa Moro
...ngoja kwanza;Asante Mkuu! Inshort Ni Teja! Nakutana Nae Sana Huku Tumbaku
aaaaah aaaaaah vingine c vya kusema hapa! wew Tambua Ni Mteja....ngoja kwanza;
..teja kwa kula weed tu,
.ama anamoka mbilmbili?
Mkuu Mimi nataka kufika mahela records unanisaidiajeSawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.