Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

OTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Inaumiza sana
 
Wasanii wetu hua wanapotea sana! Mbaya zaidi niwanyoma nyasi wazuri sana
 
Yah! Bro Last time nilimkuta office za Premier Betting Pale Sabasaba! Alikuwa Ana Claim Mkeka Wake Umeshinda Anachelewa Kulipwa!!!

Ka office kana usumbufu sana nlikuwa nampiga sana mhindi lak 3 na 2 had uwape rushwa ndo watoe pesa la sivyo utazungushwa mbaya moro bana nimejifunzia kubet Sua hiyo daaa
 
OTEN Yupo Morogoro Manzese! Muda Mwingi Anakujaga Kitaa Chetu Anakuja Kula Weed Na Wenzie! Inshort Kachoka Mbaya!!!!
Last time Walikuja Kubebwa Wala Weed Nae Akasombwa!! Ashukuliwe Braza Wile Matajiri Wa Mahewa Records Alienda Kumchomoa!!!
OTEN YUPO MORO NI MTEJA TU.
Kila Ninapomuona Naumia Sana! Asa Nikikumbuka Ile Nyimbo Aliyomponda Afande Sele! (Mimi), Sasa Hiv Wote Wamepotea! Afande Sele Nae Napishana Nae Kwenye Kubeti Tu!!!
INAUMANA sana
Mkuu hukwenda kigoma? Uliamua kubaki moro?
 
Sawa Mkuu! Unaweza Kunijibu Haya Maswali Kama Unamjua O Ten Vizuri?? Na Unaifahamu Morogoro??
Unapajua Kwa Baki!?
Unamjua Wile Matajiri?
Unapafahamu Kwa Kina , BELE9, AFANDE SELE, SAMIRY,STAMINA, O TEN??
Unajua Vizuri Mahewa Record Ilipo???
Ukinijbu Haya Nitajua Kuwa Nabishana Na Nani!!
Otherwise Jibu Hoja Kwa Hoja Usipende Kubisha Vitu Usivyovijua!!
OTEN Yupo Moro! Anashinda Manzese Anashinda Na Kina Wanyoka! Jion Anakuja Kula Weed Kwa Baki!
Kama Mim Nadanganya Weka Mpunga Tukutane Hapa Kiwanda Cha Tumbaku Nikupeleke Ukapige Nae Picha.
Mkuu Mimi nataka kufika mahela records unanisaidiaje
 
....mimi ni mkuu wa mkoa niko juu zaidi ya Mayor mimi ni kama baba mwenye familia nalea,...nilikuwa namkubali sana jamaa nilikuwa napenda ambavyo hafichi kitu mfano alipomtaja Afande kama adui yake, kiakili za kipindi kile niliamini ndo Hip Hop, jamaa anaweza Mungu amponye ili arudi tena.
 
Back
Top Bottom