Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

Ddahhh nammiss sana o-ten
 

Mi namwonaga kwa Saidi Mpare hapo hapo Sabasaba akigonga viroba tu, sijui anatokaga navyo wapi wakati vimepigwa marufuku
 
Sasa ivi anapiga bodaboda ukibisha utakua mchawi na mwenzie 20 p wamechoka mbaya jion utawakuta forest kuna kama studio ivi
Maisha bwana! East Coast team enzi hizo wanawaaminisha watu wao wa kishua wanakaa Upanga, kumbe wengi wanakaa kwa ndugu zao wanalala Sebuleni nyumba za Msajili!!
 
Sidhani kama atarudi kwa maelezo kumtu kama hayo
 
Ila Afande anajielewa aisee na ana maisha yaliyosimama ya kiungwana angalau.
 
Rapa bora wa muda wote,Jamaa was good.Hivi kina FA na AY kwanini wasiwekeze kwenye hiki kipaji?
Au ndio roho mbaya!
Hivi uko siriaz ulichokiandika?[emoji1], Nyandindi hajawahi kuwa rapa bora, labda ungesema rapa mjanjamjanja
 
 
una kipaji cha kutunga uongo
Uongo uko wapi hapo sasa? Yuko Moro, na kapigika, dogo wangu mmoja alimzingua baada ya kumlazimisha amnunulie bapa wakati enzi zake alijifanya hamjui kwenye tamasha lake Jamhuri. Yuko Moro na ni choka mbaya.
 
crazy gk wakishua kweli..hao wengne labda
Inategemea definition yako ya Ushua! By then mama Gk alikua mhadhiri tu CBE amepata hela kwenye Ubunge miaka ya karibuni lakini kwa wakati ule ilikua familia ya kawaida tu yenye uhakika wa kula na kuvaa ila tulikariri wakazi wa Upanga wana hela
 
Maisha bwana! East Coast team enzi hizo wanawaaminisha watu wao wa kishua wanakaa Upanga, kumbe wengi wanakaa kwa ndugu zao wanalala Sebuleni nyumba za Msajili!!
...kwahiyo inakuuma mpaka leo
 
Reactions: Pep
Uongo uko wapi hapo sasa? Yuko Moro, na kapigika, dogo wangu mmoja alimzingua baada ya kumlazimisha amnunulie bapa wakati enzi zake alijifanya hamjui kwenye tamasha lake Jamhuri. Yuko Moro na ni choka mbaya.
Mkuu Alishaelewa Huyu!!! Achan Nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…