accused
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,496
- 2,746
Nimekaa nimetafakari sana, kwanini tokea scorpion akamatwe Ndugu yetu na mtaalamu wetu wa mambo ya uchawi Mshana Jnr hasikiki jamvini..
Nkiangalia hoja mbalimbali za watu wanaomtetea scorpion wanavyomuelezea na nnavyomkosa Mshana humu napata hofu..
Nani anamfahamu Mshana aje atujuze kaenda wapi huyu mwanaharaki
Nkiangalia hoja mbalimbali za watu wanaomtetea scorpion wanavyomuelezea na nnavyomkosa Mshana humu napata hofu..
Nani anamfahamu Mshana aje atujuze kaenda wapi huyu mwanaharaki