Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe ndio unasema hivyo , sisi tunaamini ni mtunzi mahiriHuyo hakuwahi kuwa mtunzi alikuwa anaunganisha past papers na notes kwenye vitabu wengine
ametunga kitabu ganiWewe ndio unasema hivyo , sisi tunaamini ni mtunzi mahiri
Mtakutana naye October!View attachment 1360818
Huyu mtu alikuwa ndio nguzo ya ccm Tarime , lakini ni kitambo kirefu sijamsikia , atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele kukipigania chama chake kwa halali na kwa haramu na kwa mara ya mwisho alionekana kwenye tukio la kung'oa bendera za Chadema mjini Dodoma
Yuko wapi sasa ?
siyo kimojaametunga kitabu gani
Una soft copy ya hicho kitabu kinachoitwa "siyo kimoja"siyo kimoja
Huyo hakuwahi kuwa mtunzi alikuwa anaunganisha past papers na notes kwenye vitabu wengine
kwamba huvijui vitabu vya Nyambari Nyangwine vilivyotumika mashuleni au unataka kupoteza muda tu ?Una soft copy ya hicho kitabu kinachoitwa "siyo kimoja"
Siyo kwamba napoteza mda Mkuu! The Elephant kauliza huyo nyambari katunga kitabu gani? Wewe umemjibu "siyo kimoja" ...sasa mimi naomba soft copy yake!kwamba huvijui vitabu vya Nyambari Nyangwine vilivyotumika mashuleni au unataka kupoteza muda tu ?
View attachment 1360818
Huyu mtu alikuwa ndio nguzo ya CCM Tarime, lakini ni kitambo kirefu sijamsikia, atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele kukipigania chama chake kwa halali na kwa haramu na kwa mara ya mwisho alionekana kwenye tukio la kung'oa bendera za Chadema mjini Dodoma
Yuko wapi sasa?
Darasa la Saba atunge kitabu?siyo kimoja
Yeye ana kampuni ya publishing ambayo anashirikiana na wakenya.Hana kitabu hata kimoja alichoandika.kwamba huvijui vitabu vya Nyambari Nyangwine vilivyotumika mashuleni au unataka kupoteza muda tu ?
Mbona tulimaliza nae Mara sekondari au alirudia tena shule ya msingi.Darasa la Saba atunge kitabu?
Division aliyopata ina tofauti iliMbona tulimaliza nae Mara sekondari au alirudia tena shule ya msingi.
Alipata division gani?Mbona tulimaliza nae Mara sekondari au alirudia tena shule ya msingi.
Zamani nikiwa form one nilidhani ndiye aliyetunga points hizi. Alikuwa ni kama ana hatimiliki nazo kila kitabu lazima zihusike.Vile sio vitaabu bali ni summary tu point zake kwrnye vitabu vyake ni land alienation, forced labour, taxation
Sent using Jamii Forums mobile app
na.Division aliyopata ina tofauti ili
Alipata division gani?