Yuko wapi mtunzi mahiri wa vitabu vya kufundishia ambaye pia ni kada wa CCM Nyambari Nyangwine?

Yuko wapi mtunzi mahiri wa vitabu vya kufundishia ambaye pia ni kada wa CCM Nyambari Nyangwine?

Huyo alikua ana copy kazi za watu ,Kama ilivyo kwan James Shigongo ambaye hadithi zake nyingi anachukua kutoka katika vitabu vya watu huko ulaya anatafsiriwa alafu anajifanya katunga yeye
Basi wajanja sana hawa jamaa maana wamepiga hela kweli kweli
 
Wewe ndio unasema hivyo , sisi tunaamini ni mtunzi mahiri
Wewe unawafahamu watunzi mahiri?ndo tatizo la jukwaa kuvamiwa na vitoto,Nyambari hakuwa mtunzi alikuwa akiunganisha karatasi kutoka kwa watunzi wenye akili ,pia hivyo vijikaratasi wewe unaita vitabu aliunganishiwa tenda na Maccm wenzie hadi vikaingizwa mashuleni,uongozi ulivyo badilika hayo makaratasi yake yakapigwa marufuku yasifundiswe mashuleni kwani hayakuwa na sifa.yuko Dsm anaduka la vitabu anauza ,lakini anauza vya watunzi wengine wenye kukidhi vigezo.
 
Wewe unawafahamu watunzi mahiri?ndo tatizo la jukwaa kuvamiwa na vitoto,Nyambari hakuwa mtunzi alikuwa akiunganisha karatasi kutoka kwa watunzi wenye akili ,pia hivyo vijikaratasi wewe unaita vitabu aliunganishiwa tenda na Maccm wenzie hadi vikaingizwa mashuleni,uongozi ulivyo badilika hayo makaratasi yake yakapigwa marufuku yasifundiswe mashuleni kwani hayakuwa na sifa.yuko Dsm anaduka la vitabu anauza ,lakini anauza vya watunzi wengine wenye kukidhi vigezo.
😆😆😆😆
 
Yeye ana kampuni ya publishing ambayo anashirikiana na wakenya.Hana kitabu hata kimoja alichoandika.
Ila yeye Kama publisher ka publish vitabu vya waandishi kibao Publisher na mwandishi ni watu wawili tofauti.
Una uelewa mdogo mno
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete .

Hivi wewe ni wa kumsakama Nyangwine kweli ?
 
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete .

Hivi wewe ni wa kumsakama Nyangwine kweli ?
CCM na uongo wapi na wapi chadema ndio mumezoea uongo nyangwine kaandika kitabu gani tutajie kimoja chadema mwehu wewe usiye na akili tutajie kitabu kimoja alichoandika.Taja jina la kitabu nyangwine alichoandika yeye Kama yeye
 
CCM na uongo wapi na wapi chadema ndio mumezoea uongo nyangwine kaandika kitabu gani tutajie kimoja chadema mwehu wewe usiye na akili tutajie kitabu kimoja alichoandika
Aiseeee !!!!
 
Aiseeee !!!!
Usione went akili ma doctor na maprofesa hawataki kuwa wanachama bwa chadema tunapenda CCM huko chadema Kuna wapymbavu wengi Sana Kama wewe hawajui kutofauttisha publisher na mwandishi kwa hiyo.kwenu chadema vitabu ambavyo nyangwine Kama publisher kavitoa kwenu Nyangwine ndie mwandishi aisee nyie chadema hopeless and stupid
 
Yeye ana kampuni ya publishing ambayo anashirikiana na wakenya.Hana kitabu hata kimoja alichoandika.
Ila yeye Kama publisher ka publish vitabu vya waandishi kibao Publisher na mwandishi ni watu wawili tofauti.
Una uelewa mdogo mno
Acha uongo wewe. Si lazima mwandishi na publisher wawe tofauti. Fatilia vitabu vya Tanzania institute of education utaona uongo wako
 
View attachment 1360818

Huyu mtu alikuwa ndio nguzo ya CCM Tarime, lakini ni kitambo kirefu sijamsikia, atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele kukipigania chama chake kwa halali na kwa haramu na kwa mara ya mwisho alionekana kwenye tukio la kung'oa bendera za Chadema mjini Dodoma

Yuko wapi sasa?
...atakuwa kapotezwa ndani ya chama kwa visasi vya mr jiwe si unajua uyu jamaa alikua timu lowasa kumbuka jiwe ananyali sana nguvu ya wanamtandao
 
Back
Top Bottom