Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Usije jf ukiwa njwiiiUsione went akili ma doctor na maprofesa hawataki kuwa wanachama bwa chadema tunapenda CCM huko chadema Kuna wapymbavu wengi Sana Kama wewe hawajui kutofauttisha publisher na mwandishi kwa hiyo.kwenu chadema vitabu ambavyo nyangwine Kama publisher kavitoa kwenu Nyangwine ndie mwandishi aisee nyie chadema hopeless and stupid
Kumbe huyu jamaa wa CHADEMA aliwavamia ccm ndio maana walimkosa na yale maweView attachment 1360818
Huyu mtu alikuwa ndio nguzo ya CCM Tarime, lakini ni kitambo kirefu sijamsikia, atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele kukipigania chama chake kwa halali na kwa haramu na kwa mara ya mwisho alionekana kwenye tukio la kung'oa bendera za Chadema mjini Dodoma
Yuko wapi sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AtuonyesheeeeUna soft copy ya hicho kitabu kinachoitwa "siyo kimoja"
Yeye ana kampuni ya publishing ambayo anashirikiana na wakenya.Hana kitabu hata kimoja alichoandika.
Ila yeye Kama publisher ka publish vitabu vya waandishi kibao Publisher na mwandishi ni watu wawili tofauti.
Una uelewa mdogo mno
Hapo kwenye picha walikuwa wanafanya nini ?View attachment 1360818
Huyu mtu alikuwa ndio nguzo ya CCM Tarime, lakini ni kitambo kirefu sijamsikia, atakumbukwa kwa kuwa mstari wa mbele kukipigania chama chake kwa halali na kwa haramu na kwa mara ya mwisho alionekana kwenye tukio la kung'oa bendera za Chadema mjini Dodoma
Yuko wapi sasa?
Kiswahili cha advance kipoje?Ni kweli kuwa ana kampuni ya kuchapa lakin pia yeye mwenyewe anaandika vitabu kaka.Mfamo kuna cha kiswahili cha advance ameandika yeye akishirikiana na Masebo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyambari Nyangwine wa darasa la saba ni yupi unayemseme? au imekuwa sehemu ya kuburudisha wasomaji?Darasa la Saba atunge kitabu?
Wewe ulivipata wapi hivyo vitabu?Don't tell me kwenye huo utoto hapo pichani yupo legendary Nyambari?
Confirm tafadhali kabla sjaondoa na kuchoma vitabu vyake vyote kwenye bookshop zangu tatu za Arusha, Moshi na Babati
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wangeingoa mioyoni mwa watuYaani picha inawaonyesha wakifanya mambo ya kitoto
Alikuwa sawa na babu wa loliondo kutuchukulia vijisent vyetuHuyo hakuwahi kuwa mtunzi alikuwa anaunganisha past papers na notes kwenye vitabu wengine