cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yupo huku Madibira anafanya vibarua vya kuvuna mpunga
[emoji23][emoji23]Wewe ni mwehu [emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16] Unanichukulia poa kinoma. Ila kwqni tabu nini wacha tufe na hawa kina mwajuma wetu na mwanasha
Hahahaha utalala naye piaNalala chini hata kitanda sina siwezi kumhandle mtoto
Mambo zenu wadau,
Ningependa kujua yule mwanadada machachari kabisa aliyetamba na kibao chake cha "Na yule" amepotelea wapi maana naona hasikiki kabisa siku hizi toka alivyotangaza kutoka mikononi mwa Clouds Media, ni kwamba amebuma kabisa kutokana na ukosefu wa promo au bado anajipanga kuja kumshinda Nandy.
Hahahahahah i love JF..Ingia Youtube, au zamani mlikuwa mnaonana wapi?
Afadhali hili jibu sijapewa mimi maana ningevurugwa, halina kiwango.cha tzIngia Youtube, au zamani mlikuwa mnaonana wapi?
eb naomba namba zake madamyupo kwao gongo la mboto
Wahenga wa kizungu walisema....
"Dont insult a crocodile before crossing the river.."
Yupo na song mpya Wale wale nafikiri katoa audio tu ni wimbo mzuri sanaMambo zenu wadau,
Ningependa kujua yule mwanadada machachari kabisa aliyetamba na kibao chake cha "Na yule" amepotelea wapi maana naona hasikiki kabisa siku hizi toka alivyotangaza kutoka mikononi mwa Clouds Media, ni kwamba amebuma kabisa kutokana na ukosefu wa promo au bado anajipanga kuja kumshinda Nandy.