Yuko wapi mwanaJF Joseverest?

Haha eti ukanda wa juu kaskazini..

Sauli inakwenda Mbeya ambako ni nyanda za juu kusini.
 
Haha eti ukanda wa juu kaskazini..

Sauli inakwenda Mbeya ambako ni nyanda za juu kusini.
Makosa ya simu mkuu nililenga kabisa kuandika nyanda za juu kaskazini bahati mbaya ikaja ukanda wa juu kaskazini
 
Huwa anakuja na kupotea mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…