Yuko wapi mwanaJF Joseverest?

Yuko wapi mwanaJF Joseverest?

Wazee kama ni ligi ya mabasi wale wazee wa kanda ya juu kaskazini twaweza kumuita sauli, kama ni ligi ya mpira basi jamaa ndo alikuwa bingwa ni yeye maana kila thread jamaa kama hayupo namba moja basi lazima tatu bora awepo ilifikia kipindi mpaka watu wakapendekeza jamaa awe mod.
Haha eti ukanda wa juu kaskazini..

Sauli inakwenda Mbeya ambako ni nyanda za juu kusini.
 
Haha eti ukanda wa juu kaskazini..

Sauli inakwenda Mbeya ambako ni nyanda za juu kusini.
Makosa ya simu mkuu nililenga kabisa kuandika nyanda za juu kaskazini bahati mbaya ikaja ukanda wa juu kaskazini
 
Habarini za jioni wana jf wenzangu poleni na mihangaiko ya jumamosi naimani wote bado tunaendelea kuchukua tahadhari ipasavyo dhidi ya janga la covid-19.

Ngoja niende direct to the point kipindi cha mwaka mmoja hivi au miwili humu JF kulitokea member mmoja alikuwa anaitwa Joseverest jamaa alikuwa on fire sana.

Wazee kama ni ligi ya mabasi wale wazee wa nyanda za juu kusini twaweza kumuita Sauli, kama ni ligi ya mpira basi jamaa ndo alikuwa bingwa ni yeye maana kila thread jamaa kama hayupo namba moja basi lazima tatu bora awepo ilifikia kipindi mpaka watu wakapendekeza jamaa awe mod.

Je, yupo wapi huyu mtu kwa sasa au ndo alishapewa umoderator!!?
Huwa anakuja na kupotea mkuu.
 
Back
Top Bottom