Yuko wapi mzee Kinana?

Yuko wapi mzee Kinana?

Wakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?


Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.

Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Kweli Mkuu,ata Mzee Makamba na yeye kimya sana!
 
Wew si unajua mzee wa tembo yule utampate mjini yupo ktk field analamba asali za meno ya tembo.
 
Idadi ya tembo imeongezeka sana hadi wanakuwa kero kwa wakulima hivyo amejitolea kupunguza kero hii kwa wakulima.
 
"Justice for TANZANIA mei 2023 in mysterious way" sauti ya nabii mmoja hivi!!

Sijui ndio inaanza kutimia na jamaa akaongeza john Megafuli (MAGUFULI)was a survant of God and was killed so God has listened to the cries of his people in Tanzania!!

""Franklin D roosevelt na utawala wa miaka 12 Tanzania,ilitokea marekani itatokea na huku"

Labda itatimia!??je ni pole pole!!? Gwajima!? Innocent Bashungwa!!?au ni mama HADI 2030!!

Yote kheri aonavyo YEYE!


Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo SANA
JUSTICE FOR TANZANIA

Gwajima!!!our president!!
 
Back
Top Bottom