Yuko wapi Mzuwanda wa kimara resort

Dah!
 
Namkumbuka enzi zile mwadui alikuwa na vyombo vyake vya disco,nikaja muona huko dar akifanya kazi kwenye ofisi moja ya melini iliyokuwa kwenye jengo la avalon akiwa na vw beattle yake,aliiandika king of the road,mara nikawa nakutana naye pale gerezani club akiwa na pajero mara akaanza kuyabadilisha magari mazuri,hope he’s doing fine!!.
 
HINDI TEKE ni ibilsi tu ni sehemu ya majaribu ila na hakika Pastor Mzuwanda yuko imara anaendelea kumtumikia Bwana!!!!
ila mr mfianchi chumvi nyingi sana.
 
Kabisa kabisa he is doing very fine & healthy,
spiritually & economically doing very fine elsewhile.
 
Karibuni Beloya Bible Fellowship zamani Bahama mama Club
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…