Yuko wapi Mzuwanda wa kimara resort

Yuko wapi Mzuwanda wa kimara resort

Mzuwanda ''alijifanya'' ameokoka na alikuwa anasali kanisa la mama mchungaji, Dr, Mheshimiwa ,pale Mlima wa moto,pale kanisani alikuwa anakula hindi teke moja la Kisukuma, hilo hindi lilikuwa la kijana mmoja,baadae akaondoka na kuanzisha kanisa lake pale kwenye kituo chake cha mafuta Baruti.Unaambiwa hilo hindi teke lilianza kumfanyia vituko kijana wake baada ya kuwezeshwa na baba ,lakini hali ikabumbuluka na kijana akaamua aangalie hamsini zake na kama haitoshi mzee nae akamtosa baada ya hindi kuanza kuliwa na viserengeti/vimario baada ya hilo hindi teke kuwa na mkwanja wa kufa mtu ambao alikuwa akinufaishwa na mzee,habari zikamfikia mzee na mzee akakata kamba,hindi teke nalo likaanza kunyauku baada ya kukosa mshiko wa baba ,mwishowe hadi hela ya pango akawa hana na amebaki leo kalala Sinza ,kesho Kimara ,keshokutwa Mbagala hata daladala alizozisahau kuzipanda nazo zinamshinda.Hindi teke limekuwa choka mbaya na hata Serengeti nao wameota mbawa.
Dah!
 
Umemuulizia mtu ambae sie ma "born city" nduo tunaweza kumfahamu, humu JF wengi kama asilimia 99 hivi wamekuja mjini 2000s kusoma ndio wakaishia watamjulia wapi huyo kijana wa zamani wa mjini Joe Mziwanda? Na best yake Mahindi waliomiliki Jambo Freight.. jamaa atakuwepo vizuri tu mara ya mwisho nilinsikia akiwa Tabora kwenye investments zake huko.Watoto hawa jf waulize akina sijui kihumbe au namusoma ndio watawajua mjini wamekuja na mbio za mwenge.
Namkumbuka enzi zile mwadui alikuwa na vyombo vyake vya disco,nikaja muona huko dar akifanya kazi kwenye ofisi moja ya melini iliyokuwa kwenye jengo la avalon akiwa na vw beattle yake,aliiandika king of the road,mara nikawa nakutana naye pale gerezani club akiwa na pajero mara akaanza kuyabadilisha magari mazuri,hope he’s doing fine!!.
 
Mzuwanda ''alijifanya'' ameokoka na alikuwa anasali kanisa la mama mchungaji, Dr, Mheshimiwa ,pale Mlima wa moto,pale kanisani alikuwa anakula hindi teke moja la Kisukuma, hilo hindi lilikuwa la kijana mmoja,baadae akaondoka na kuanzisha kanisa lake pale kwenye kituo chake cha mafuta Baruti.Unaambiwa hilo hindi teke lilianza kumfanyia vituko kijana wake baada ya kuwezeshwa na baba ,lakini hali ikabumbuluka na kijana akaamua aangalie hamsini zake na kama haitoshi mzee nae akamtosa baada ya hindi kuanza kuliwa na viserengeti/vimario baada ya hilo hindi teke kuwa na mkwanja wa kufa mtu ambao alikuwa akinufaishwa na mzee,habari zikamfikia mzee na mzee akakata kamba,hindi teke nalo likaanza kunyauku baada ya kukosa mshiko wa baba ,mwishowe hadi hela ya pango akawa hana na amebaki leo kalala Sinza ,kesho Kimara ,keshokutwa Mbagala hata daladala alizozisahau kuzipanda nazo zinamshinda.Hindi teke limekuwa choka mbaya na hata Serengeti nao wameota mbawa.
HINDI TEKE ni ibilsi tu ni sehemu ya majaribu ila na hakika Pastor Mzuwanda yuko imara anaendelea kumtumikia Bwana!!!!
ila mr mfianchi chumvi nyingi sana.
 
Namkumbuka enzi zile mwadui alikuwa na vyombo vyake vya disco,nikaja muona huko dar akifanya kazi kwenye ofisi moja ya melini iliyokuwa kwenye jengo la avalon akiwa na vw beattle yake,aliiandika king of the road,mara nikawa nakutana naye pale gerezani club akiwa na pajero mara akaanza kuyabadilisha magari mazuri,hope he’s doing fine!!.
Kabisa kabisa he is doing very fine & healthy,
spiritually & economically doing very fine elsewhile.
 
Karibuni Beloya Bible Fellowship zamani Bahama mama Club
 
Back
Top Bottom