Yuko wapi Nyani Ngabu?

Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu akuje kaka atoe nukta nukta nisome vizuri
 
SHAMMA sikuwa na lengo lolote baya. Thread za kuulizia watu chit chat huwa natunga nyingi sana. Hii ni sehemu yangu ya ku relax. Dinazarde mwenyewe ananielewa vizuri, kadhalika Nyani Ngabu nae ananielewa vizuri.
Huwa sina unafiki au ujinga ujinga I call a spade a spade sizunguki kama nataka kusema kitu. Nimekaa kimya baada ya kuona huu uzi umegeuka vita ila hilo halikuwa lengo langu. Nasikitika sana imekuwa hivi.
Moderator tafadhali futa huu uzi.
Umeanza na wewe!... Ugomvi ushaisha huku tumeshasuluhisha mambo bien...uzi usifutwe kuna watu wanajifunza kitu through huu uzi

Usiku mwema!
 
Mimi sibahatishi siungi ungi kama yeye.

Najua ni yeye.

Na nilimuuliza Don Clerucuzio [sijui nimepatia jina lake?] akanithibitishia kuwa alifuatwa PM na huyo takataka akiulizia kama Don anamfahamu huyo mzee.

If you are trying to be a peace broker here stop taking sides. Otherwise just be who you are. Laugh at the bullshit and leave it alone.

The one you are trying hard to defend is a worthless piece of shit. She is worse than toilet bowl scum. She is not that innocent!
Khaaaaaaaa![emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
SHAMMA sikuwa na lengo lolote baya. Thread za kuulizia watu chit chat huwa natunga nyingi sana. Hii ni sehemu yangu ya ku relax. Dinazarde mwenyewe ananielewa vizuri, kadhalika Nyani Ngabu nae ananielewa vizuri.
Huwa sina unafiki au ujinga ujinga I call a spade a spade sizunguki kama nataka kusema kitu. Nimekaa kimya baada ya kuona huu uzi umegeuka vita ila hilo halikuwa lengo langu. Nasikitika sana imekuwa hivi.
Moderator tafadhali futa huu uzi.
You have my full support
CC: Moderator, JamiiForums...
 
Mimi sibahatishi siungi ungi kama yeye.

Najua ni yeye.

Na nilimuuliza Don Clerucuzio [sijui nimepatia jina lake?] akanithibitishia kuwa alifuatwa PM na huyo takataka akiulizia kama Don anamfahamu huyo mzee.

If you are trying to be a peace broker here stop taking sides. Otherwise just be who you are. Laugh at the bullshit and leave it alone.

The one you are trying hard to defend is a worthless piece of shit. She is worse than toilet bowl scum. She is not that innocent!
Okay broo!!jus calm down broh!nimeelewa sasa I know its hurt km alifanya hvyo...!!!

Maombi yangu mshachafuana sana sasa hivi enough is enough whatever happened between two of u...!!!let's close the chapter

Mmeshadhalilishana sana!!ninyi nyote ni wetu!!!jf is our home!

Ifike muda mkuwe sasa,u and dina!!!
Ninyi ni watu wazima na watu wanawafahamu baadhi yenu humu!
To be honest kilicho hapa ndicho kilicho akilini mwako ndo maana mtu akikukwaza unamfikiria mpk unamkomesha kivingine...

Naomba yaishe msameheane maisha yaendelee mengine!

Jus life is too short to complicate!!

Nna mengi ya kusema but I won't here yawe kweli au uongo ila yanahusu wewe na wadada wa jf niliyoongea leo yanatosha

Hata km uongo ila yanasemwa and I heard kutoka kwa watu!

Am sorry kama nimekukwaza my bro!very sorry
 
Nifa nae alimsambazia picha za marehemu Nani yake,
Pic ya miss natafuta ilijisambaza peke yake eti
Kuwasema watoto wa watu mbilikimo kina vale nao walimsambazia nini
Jamani nishamaliza Gen
Mtu anajuana na watu nusu jf, anitue mjukuu wa mzee Rage
Dinazarde na Nyani ngabu, acheni upumbavu huu, nyie mmekulana na mlikiri hapa wenyewe, hiki kinachoendelea sio tu kinawashusha ninyi nyote bali kinadhalilisha UTU wenu.
Malizaneni tofauti zenu hazina TIJA.
watu sio wajinga wanaona huu ni upuuzi, sababu watu tunapenda umbea na kupata cha kusimulia, tumechochea mgogoro usio na tija yoyote.
Dina sikujui wala Ngabu sikujui.
Pliz acheni haya yapite kama upepo,
Mwombane msamaha yapiteee amani itawala japo sio lazima kurudisha uhusiana
Henry Nkya
 
Shule ipi Witnessj, kuhesabu vidato na semista?
Kuwa na pumzi na kuwa na utu ni shule tosha.
Inahitaji hekima ndogo sana kuepuka upumbavu huu.
Jiulize haya:
1. Hivi hili ninalopanga kumfanyia mwenzangu kinafaa?
2. Kama ningefanyiwa mimi ningejisikia je?

Huu ni upumbavu wa hali ya juu kabisa japo tunachangia lkn inaonyesha kutokuwa na mioyo mizuri.
Huku kuvuana nguo gizani..jf kunaonyesha upumbavu wa Mtanzania bila kujali ana elimu au la.
Endapo angetokea mmoja anafanyiwa ubaya halafu yeye hajarudisha mashambulizi tungemtetea, lkn wote wako [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] nasi pia tumekoleza moto.
Pumbavu zetu kabisa
Hahaaaaaa....we jamaa mwenyewe mbea tuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nifa nae alimsambazia picha za marehemu Nani yake,
Pic ya miss natafuta ilijisambaza peke yake eti
Kuwasema watoto wa watu mbilikimo kina vale nao walimsambazia nini
Jamani nishamaliza Gen
Mtu anajuana na watu nusu jf, anitue mjukuu wa mzee Rage
Heeeeee ajaaaajaaa...vale mbilikimo?

Miss search picha ake si ile kavaa gauni jekundu khaaa!

Kitasa cha nifah nani alikisambaza?
 
Okay broo!!jus calm down broh!nimeelewa sasa I know its hurt km alifanya hvyo...!!!

Maombi yangu mshachafuana sana sasa hivi enough is enough whatever happened between two of u...!!!let's close the chapter

Mmeshadhalilishana sana!!ninyi nyote ni wetu!!!jf is our home!

Ifike muda mkuwe sasa,u and dina!!!
Ninyi ni watu wazima na watu wanawafahamu baadhi yenu humu!
To be honest kilicho hapa ndicho kilicho akilini mwako ndo maana mtu akikukwaza unamfikiria mpk unamkomesha kivingine...

Naomba yaishe msameheane maisha yaendelee mengine!

Jus life is too short to complicate!!

Nna mengi ya kusema but I won't here yawe kweli au uongo ila yanahusu wewe na wadada wa jf niliyoongea leo yanatosha

Hata km uongo ila yanasemwa and I heard kutoka kwa watu!

Am sorry kama nimekukwaza my bro!very sorry

Wadada gani wa JF?

Acheni kulishana uongo na uzushi bana!

What now? I’m a rapist? Huwa nawabaka? Gee whiz.

Nina uhakika yote hayo unayodai yanasemwa ni uzushi tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom