[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Acha ujinga nimekuita mkuuJamani mie form 4 tu hata pa kuwekea haya makalio yangu makubwa sina!
Naishi fake life. Naambiwa hata US siishi.
Sa sijui naishi wapi mie teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwabaki they r coming with their conscious mind ila ukishamaliza unawasambaza sasaa!hapo ndo unaharibu!!huna siriiWadada gani wa JF?
Acheni kulishana uongo na uzushi bana!
What now? I’m a rapist? Huwa nawabaka? Gee whiz.
Nina uhakika yote hayo unayodai yanasemwa ni uzushi tu.
Hatariiiii[emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani wewee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] mchana watu usiku wanga sugu
Wachumba wa wapi?? JF?? Huku mtaani kwenyewe nawakimbia ndo ntafute humu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]najuaaaa!!!!huogopi kukosa wachumbaa
Cc SHAMMAEbu akuje kaka atoe nukta nukta nisome vizuri
Kutoka wapi?Hatujakamilika msamaha wa bure tafadhali
Hana hayoAmeleta uzi kwa malengo mahsusi
Wewe unisameheKutoka wapi?
Dah!nyie watu nyieDuniani mama.
Ila na wewe msukuma si uachane na haya mambo?? Hivi hasira gani hizo hammalizi mioyoni mwenu? Embu yapite jamani.It’s all good.
Nothing there is true.
It’s all sensationalism.
Just think for a minute. Do you actually think I have an old enough daughter who herself is of child bearing age? And that I’m hiding her? Can you hide a human being? Let alone your own flesh and blood?
Do you actually believe that I am a form four leaver?
I mean, come on now.....
Stuff like that don’t bother me one bit because it’s 100% calumny.
Watu wanaumbuana bila sababu za msingi,kama ukiwa na ugomvi na mtu msimalizane private mpaka kuja kwanini kufaidisha watu humu?.Umeonaa eeh!
Kuna kitu nimeshtuka!
Humjui Rrondo upande wa pili weweHana hayo
Yani hapa nimekuja chooni kumkimbia bby nile ubuyu [emoji23][emoji23]Woow...karibu huku leo ni[emoji91] [emoji91] [emoji91]
Umeona eeehhh!!halafu wote wasukuma loooh!wayamalize bwanaIla na wewe msukuma si uachane na haya mambo?? Hivi hasira gani hizo hammalizi mioyoni mwenu? Embu yapite jamani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwabaki they r coming with their conscious mind ila ukishamaliza unawasambaza sasaa!hapo ndo unaharibu!!huna sirii
Kula kimya kimyaa!
Dinaaa...!!for my sake achana na hizi mambo sweet!enough is enough!! HoneyyyWenye madini kina paschal, mwanakijiji ushaona wanaaibishana na wanawake, utafikiri anaishi na mama diamond madale
Tuwasuluhishe hawa hapa hapa..Dinazarde na Nyani ngabu, acheni upumbavu huu, nyie mmekulana na mlikiri hapa wenyewe, hiki kinachoendelea sio tu kinawashusha ninyi nyote bali kinadhalilisha UTU wenu.
Malizaneni tofauti zenu hazina TIJA.
watu sio wajinga wanaona huu ni upuuzi, sababu watu tunapenda umbea na kupata cha kusimulia, tumechochea mgogoro usio na tija yoyote.
Dina sikujui wala Ngabu sikujui.
Pliz acheni haya yapite kama upepo,
Mwombane msamaha yapiteee amani itawala japo sio lazima kurudisha uhusiana
Henry Nkya
Ila na wewe msukuma si uachane na haya mambo?? Hivi hasira gani hizo hammalizi mioyoni mwenu? Embu yapite jamani.
Hapa nimekuheshimu bure, hili ndilo twapaswa kuwashauri hawa watu, ugomvi wao hauna tijaIla na wewe msukuma si uachane na haya mambo?? Hivi hasira gani hizo hammalizi mioyoni mwenu? Embu yapite jamani.