MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Wasalaam JF,
Baada ya kipenga kupulizwa cha kuruhusu mikutano ya kisiasa, ni matumaini yangu kwamba viwanja vya matukio vingekua vinarindima nchi nzima.
Ni mategemeo yangu kuona ratiba tight kabisa, hapa Lissu, pale Prof Lipumba, kule Hashim Rungwe (mzee wa ubwabwa) Zitto Kabwa katikati basi ilimradi tafrani, nchi ijae watu na kelele zipigwe kutoka mashariki mpaka magharibi na kaskazini mpaka kusini.
Hii ni nafasi ya nchi kuchangamka, magazeti kujaa vichwa habari chochezi na gombeshi, wanachi wasio na kazi na wale wenye muda kuongeza heka heka, basi ilimradi nchi inachangamka.
Kwa wale wanasiasa ambao hamjaanza heka heka, tafadhali sana tunaomba nchi ichangamke.
Baada ya kipenga kupulizwa cha kuruhusu mikutano ya kisiasa, ni matumaini yangu kwamba viwanja vya matukio vingekua vinarindima nchi nzima.
Ni mategemeo yangu kuona ratiba tight kabisa, hapa Lissu, pale Prof Lipumba, kule Hashim Rungwe (mzee wa ubwabwa) Zitto Kabwa katikati basi ilimradi tafrani, nchi ijae watu na kelele zipigwe kutoka mashariki mpaka magharibi na kaskazini mpaka kusini.
Hii ni nafasi ya nchi kuchangamka, magazeti kujaa vichwa habari chochezi na gombeshi, wanachi wasio na kazi na wale wenye muda kuongeza heka heka, basi ilimradi nchi inachangamka.
Kwa wale wanasiasa ambao hamjaanza heka heka, tafadhali sana tunaomba nchi ichangamke.