Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Alikuwa mfungaji wa mchongo, mechi ya papatupapatu kafunga goli tano ili wamkomowe Mayele, ila ukweli uko wazi ni mchezaji gani Soko la kimataifa lilimuona.Mbona hakuna mwendelezo? Je alibahatisha kama George Mpole? Je TFF walimtumia kumkomoa Mayele kama walivyofanya msimu wa mwaka juzi?
Nje ya mada
Mnaonaje Boss la DP World nikipewa timu ya Yanga niweke pesa.
SawaWao wamesema ligi ndo inaanza kwakua team inapata matokeo tusubiri
SawaNi mapema sana kumjudge Saidoo
Mzee kama mzee.Alikuwa mfungaji wa mchongo, mechi ya papatupapatu kafunga goli tano ili wamkomowe Mayele, ila ukweli uko wazi ni mchezaji gani Soko la kimataifa lilimuona.
Wewe wa wapi? Kwa mtoto kama Denis Nkane sawa, sasa wazee kama Saidoo na Boko unataka uwape muda gani?Ni mapema sana kumjudge Saidoo
Ndo kwanza mechi ya 2Wewe wa wapi? Kwa mtoto kama Denis Nkane sawa, sasa wazee kama Saidoo na Boko unataka uwape muda gani?
Nje ya mada.Mechi mbili kelele nyingi sana
Mi ni mwanayanga ila huu upuuzi wa kujiamini kupita kiasi utatucost sana, yaani tumeshaweka expectations kubwa sana msimu huu, bado ni mapema sana ni Bora tutulie kwanza
Ndio kwanza msimu umeanza kwa mechi mbili utamuhukumu vipi?Mbona hakuna mwendelezo? Je alibahatisha kama George Mpole? Je TFF walimtumia kumkomoa Mayele kama walivyofanya msimu wa mwaka juzi?
Nje ya mada
Mnaonaje Boss la DP World nikipewa timu ya Yanga niweke pesa.
Huna hoja kwani TFF wanahusikaje huku Saido alifikisha goli sawa na kipenzi chakoMbona hakuna mwendelezo? Je alibahatisha kama George Mpole? Je TFF walimtumia kumkomoa Mayele kama walivyofanya msimu wa mwaka juzi?
Nje ya mada
Mnaonaje Boss la DP World nikipewa timu ya Yanga niweke pesa.
Saido anasubiri polisi wapande daraja achukue kiatu tenaNi mapema sana kumjudge Saidoo
Wewe ni kolokwinyoMechi mbili kelele nyingi sana
Mi ni mwanayanga ila huu upuuzi wa kujiamini kupita kiasi utatucost sana, yaani tumeshaweka expectations kubwa sana msimu huu, bado ni mapema sana ni Bora tutulie kwanza
Mbona timu zimecheza mechi mbili mbili tu? Kumbuka hata msimu uliopita aliingia katika dirisha dogo, sembuse mechi 28 zilizobaki!Mbona hakuna mwendelezo? Je alibahatisha kama George Mpole? Je TFF walimtumia kumkomoa Mayele kama walivyofanya msimu wa mwaka juzi?