Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Akuna nyota ya asubuhi hakikisha unakula kabla ya kulala uwezi ona nyotanyota asubuhi.Sawa bado mapema, lakini nyota njema huonekana asubuhi
👍👍😂😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuna nyota ya asubuhi hakikisha unakula kabla ya kulala uwezi ona nyotanyota asubuhi.Sawa bado mapema, lakini nyota njema huonekana asubuhi
Wanaume mnaotumia id za kikeMnatia aibu...mechi mbili wanaume sharubu zimewachachamaa kama mmemaliza ligi vile...
Njoo nikuoe.....Wanaume mnaotumia id za kike
DPW wanapewa penye yafuatayo;Mbona hakuna mwendelezo? Je alibahatisha kama George Mpole? Je TFF walimtumia kumkomoa Mayele kama walivyofanya msimu wa mwaka juzi?
Nje ya mada
Mnaonaje Boss la DP World nikipewa timu ya Yanga niweke pesa.
Id inaonesha unaingiliwa kinyume na maumbileNjoo nikuoe.....
Umebadili tena..sio dume ila kinyume na maumbile..njoo pote panafanya kazi...nikukande ukasimulie Dubai......Id inaonesha unaingiliwa kinyume na maumbile
Zaidi ya game 60 bado..mapema sana kwa timu au mchezaji yoyote kuanza kumsema
Mechi mbili kelele nyingi sana
Mi ni mwanayanga ila huu upuuzi wa kujiamini kupita kiasi utatucost sana, yaani tumeshaweka expectations kubwa sana msimu huu, bado ni mapema sana ni Bora tutulie kwanza
Tulia peke yako....kwamba huoni yanga inavyocheza au? Ya moto band🙌🙌🙌🙌Mechi mbili kelele nyingi sana
Mi ni mwanayanga ila huu upuuzi wa kujiamini kupita kiasi utatucost sana, yaani tumeshaweka expectations kubwa sana msimu huu, bado ni mapema sana ni Bora tutulie kwanza
Tulia peke yako....kwamba huoni yanga inavyocheza au? Ya moto band[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kwa umri labda kwa msaada wa tff,mtu anaitafuta miaka 50Ni mapema sana kumjudge Saidoo
Umri umri ila uwezo anao mwingi sana.Alikuwa mfungaji wa mchongo, mechi ya papatupapatu kafunga goli tano ili wamkomowe Mayele, ila ukweli uko wazi ni mchezaji gani Soko la kimataifa lilimuona.
Mkaushie.Umebadili tena..sio dume ila kinyume na maumbile..njoo pote panafanya kazi...nikukande ukasimulie Dubai......
Ni dhahir You know nothing about soccer. ENDELEA NA UNYONYAJI TUMbona hakuna mwendelezo? Je alibahatisha kama George Mpole? Je TFF walimtumia kumkomoa Mayele kama walivyofanya msimu wa mwaka juzi?
Nje ya mada
Mnaonaje Boss la DP World nikipewa timu ya Yanga niweke pesa.