Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaolewa au ni single mother labda hukuwa unajua kula chakula vizuriAliye niblue tick WhatsApp akani mute hadi status, akaweka dislike kwenye bio.
Yuko wapi sasa?
Hakunijibu sms nilivyo mu DM instagram wala nilivyo mu PM kwenye social network zingine.
Yuko wapi sasa?
Aliye niblock kwenye simu ili nilimpigia au kutuma sms zisimufikie.
Yuko wapi sasa?.
Maisha magumu wanawake wanataka akina wazungu na wakaka wanataka wakina wadada maqute na hawana chaapa watasota hadi wanywe sumu end kwao
Ndio upate sababu ya kuugua? Ushindwe kula, kulala, na kufanya vya msingi kisa penzi?Tuliyakuta mkuu
Kula kupo palepale mkuu.Ndio upate sababu ya kuugua? Ushindwe kula, kulala, na kufanya vya msingi kisa penzi?
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Ndio maana mapenzi ya siku hizi hayadumu maana watu hawaangalii tabia, utu, maadili bali ni huko kwenye uzuri, pesa, makalio, six packs, majumba, magariMaisha magumu wanawake wanataka akina wazungu na wakaka wanataka wakina wadada maqute na hawana chaapa watasota hadi wanywe sumu end kwao
Pole sana kijanaKula kupo palepale mkuu.
Stress zingine hua hatujali kabisa
Samahani mkuu hivi kudumu hua inachukua muda gani?Ndio maana mapenzi ya siku hizi hayadumu maana watu hawaangalii tabia, utu, maadili bali ni huko kwenye uzuri, pesa, makalio, six packs, majumba, magari
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
InategemeaSamahani mkuu hivi kudumu hua inachukua muda gani?
Muda mrefu tangu wajuaneHua naskia Watu husema mapenzi yao hayajadumu.
Sasa najiuliza ili kujua yamedumu huchukua muda gani