Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo nafasi si iliisha?View attachment 1797137
Huyu hapa na Malema Sauzi.
Nadhani ndo anamaliza muda wake wa umakamo wa rais wa PAP
Mama ampe nafasi huyu kijanaMwendazake alimuahidi kazi nyingine akaenda zake kabla hajatimiza ahadi, ika next time akitaka kurudi Shinyanga naamini atamuondoa yule afisa kipenyo.
Bado sana, ana potential kubwa na umri wake unaruhusuStephen Masele atulie tu muda wake ushapita,sasa ni zamu ya watu wengine,kama fedha aliwekeza chini basi ni muda wa kupay the price.
Watampa, kijana ana uzoefu wa uongozi na bado anaendelea kupata uzoefu.CCM daima watu welevu na walio bora huwa hawatakiwi
Amesema anaunga mkono hoja"Mkuu salama - toshesha basi ujumbe wako! Kaundika P tu haileti maana!
Ni moja ya vijana potential, wanatakiwa kuendelea kuangaliwa na kuandaliwa. Aliondolewa kwa kuwa tu hakuwa mwenye kusifia na alikuwa na misimamo. Tukiandaa viongozi bora baadae hatutokuja kuokoteza watu wa kuharibu taifaKm kakutuma pole mwambie kila kitabu na zama zake!
Pengine ashauriwe tu 2025 arudie jimbo lake!Ni moja ya vinana potential, wanatakiwa kuendelea kuangaliwa. Aliondolewa kwa kuwa tu hakuwa mwenye kusifia na alikuwa na misimamo. Tukiandaa viongozi bora baadae hatutokuja kuokoteza watu na kuharibu taifa kama tulivyoona
Ila na nyodo kiukweliii alikuwa nazo sana tuAlikuwa mwana siasa mzuri sana.
Nyodo zote na misafara hamna tenaIla na nyodo kiukweliii alikuwa nazo sana tu
Umenikumbusha vile alipokelewa sijui wapi kule?Nyodo zote na misafara hamna tena
Jamaa kutoka Kanawa Mhunze Shinyanga alikuwa kichwa na anapenda sana uongozi!Watampa, kijana ana uzoefu wa uongozi na bado anaendelea kupata uzoefu.
ChinaUmenikumbusha vile alipokelewa sijui wapi kule?
Bashite umri hauruhusu?Bado sana, ana potential kubwa na umri wake unaruhusu
Ilikuwa ni matambo ile mbaya. Hivi alienda kwa status gani?China
Unaruhusu anaweza kubadilika, japo hawa watu wawili huwezi kuwafananisha. Masele hajajenga uhasama au uadui na sehemu ya jamiiBashite umri hauruhusu?