Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Bado yupoView attachment 1797137
Huyu hapa na Malema Sauzi.
Nadhani ndo anamaliza muda wake wa umakamo wa rais wa PAP
Afsa kipenyo alikuwa anapumulia pua moja juu ya uwepo wa jamaaMwendazake alimuahidi kazi nyingine akaenda zake kabla hajatimiza ahadi, ika next time akitaka kurudi Shinyanga naamini atamuondoa yule afisa kipenyo.
Walikuwa vijana wa Kikwete,si ajabu akaibuka kwa Kasi ya umeme.Stephen Masele atulie tu muda wake ushapita,sasa ni zamu ya watu wengine,kama fedha aliwekeza chini basi ni muda wa kupay the price.
Inawezekana eee?Walikuwa vijana wa Kikwete,si ajabu akaibuka kwa Kasi ya umeme.
..Hayati Magufuli akiwa kwenye Kampeni Shinyanga aliahidi kumpatia huyu jamaa nafasi kwa kumshawishi amuunge mkono Katambi ambaye kama isingekuwa vile sidhani kama angekuwa hapo alipo sasa.
Je, Mama yetu Samia anakumbuka alivyoahidi mtangulizi wake kuhusu huyu bwana?
Je, ndiyo mwisho wa Masele umetimia?
Mnaojua za chini ya kapeti kuhusu huyu bwana labda mtupe stori yake angalau tufurahi na kumbwombea kipenzi chetu Masele.