Yuko wapi Stephen Masele, Mwanasiasa machachari aliyefanyiwa figisu na Ndugai?

Stephen Masele atulie tu muda wake ushapita,sasa ni zamu ya watu wengine,kama fedha aliwekeza chini basi ni muda wa kupay the price.
Bado sana, ana potential kubwa na umri wake unaruhusu
 
Km kakutuma pole mwambie kila kitabu na zama zake!
Ni moja ya vijana potential, wanatakiwa kuendelea kuangaliwa na kuandaliwa. Aliondolewa kwa kuwa tu hakuwa mwenye kusifia na alikuwa na misimamo. Tukiandaa viongozi bora baadae hatutokuja kuokoteza watu wa kuharibu taifa
 
Ni moja ya vinana potential, wanatakiwa kuendelea kuangaliwa. Aliondolewa kwa kuwa tu hakuwa mwenye kusifia na alikuwa na misimamo. Tukiandaa viongozi bora baadae hatutokuja kuokoteza watu na kuharibu taifa kama tulivyoona
Pengine ashauriwe tu 2025 arudie jimbo lake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…