Yuko wapi Vengu-mchekeshaji wa comedy

Yuko wapi Vengu-mchekeshaji wa comedy

Huyu jamaa wa kundi la kina masanja,joti na mpoki aliendaga wapi maaana ni kitambo sanaa
 

Attachments

  • FB_IMG_1714068749656.jpg
    FB_IMG_1714068749656.jpg
    66.8 KB · Views: 6
Nadhani walisema alipata tatizo kubwa la ubongo. Kama nakumbuka vizuri walisema ubongo wake umeshambuliwa na Fungus.

So ni mambo ya kifamilia zaidi. Tuwaache wamuuguze mgonjwa kwa faraagha ya kutosha.
 
Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.

Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.

Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.

Ila inasikitisha sana.
Ahsante sana kwa taarifa Mkuu. Aisee! Kuna maradhi mengine, ni afadhali Mwenyezi Mungu akutwae TU.
 
Back
Top Bottom