Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Au ndo kafara zetu wabongo?Mpaka leo hajapona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ndo kafara zetu wabongo?Mpaka leo hajapona?
Ok thanksNadhani walisema alipata tatizo kubwa la ubongo. Kama nakumbuka vizuri walisema ubongo wake umeshambuliwa na Fungus.
So ni mambo ya kifamilia zaidi. Tuwaache wamuuguze mgonjwa kwa faraagha ya kutosha.
Ahsante sana kwa taarifa Mkuu. Aisee! Kuna maradhi mengine, ni afadhali Mwenyezi Mungu akutwae TU.Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.
Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.
Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.
Ila inasikitisha sana.