Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Madogo wa sasa wanaamini " kutoka" kupitia sanaa na siasa ndio maana wanafeli!

Zamani sanaa na michezi ilikuwa ni kwa burudani tu lakini mishe nyingine zinaendelea kama kawa.

Fikiria mtu kama Rip Macheni alianzia ukonda kwenye mabasu baadae akachukua meli ndio akafaulu.

Ongeza na kazi nyingine inaitwa uchawa, sasa ukienda nchi nyingine hata Uganda tu hapo vijana wengi ndio matajiri, Bongo vijana wanakwama wapi sijui maana madon ni wazee tu ambao hawakupenda kua machawa au siasa uchwara, halafu siasa zenyewe ni fitna na kujipendekeza na kulamba miguu watu
 
Haha labda walikuwa kwenye meli za wafilipino

Ova

Wale hela walipata sana hawakukumbuka kuwekeza Bongo, starehe na viwanja vya majuu, hasa ndonga inatia nanga south muhuni anachukua pipa kwenda ng’ambo kula maisha, zikiisha anarudi tena melini lini atatengeneza maisha,
 
Ongeza na kazi nyingine inaitwa uchawa, sasa ukienda nchi nyingine hata Uganda tu hapo vijana wengi ndio matajiri, Bongo vijana wanakwama wapi sijui maana madon ni wazee tu ambao hawakupenda kua machawa au siasa uchwara, halafu siasa zenyewe ni fitna na kujipendekeza na kulamba miguu watu
Hahahaaaa...... Umenikumbusha yule " chawa mkuu " Babu Tale!

Zamani ukiwa chawa unaolewa bila kujali jinsia!
 
Uthubutu wa vijana wa siku hizi ni kutongoza ma sugarmammy ( wazee kuliko umri wa wazazi wao) ili wawalee! Pathetic!

Noma ilianzia pale vijana wanaanza kutengeneza sixpack ili wapendwe na madem, watoto wanajiremba utahisi mabibi harusi huku tako wamebana na vijinzi vyeusi ndio maana vijana wengi akikuona unaanza sikia kiongozi kiongozi anajichekesha mwisho wanabokolewa maana wanapenda offer hao sio mchezo
 
Madogo wa sasa wanaamini " kutoka" kupitia sanaa na siasa ndio maana wanafeli!

Zamani sanaa na michezi ilikuwa ni kwa burudani tu lakini mishe nyingine zinaendelea kama kawa.

Fikiria mtu kama Rip Macheni alianzia ukonda kwenye mabasu baadae akachukua meli ndio akafaulu.
au mbowe kutoka udj hadi mkuu wa kambi ya upinzani
 
we kweli kitambo
Mv 118 zilikuwa zinakimbia sana Sadiq line wa dar moro alikuwa nazo, Mwendowa saa , matema beach etc .
hazikuhudumu miaka mingi zote zikawa hoi zimechoka , zilizobaki sasa ni staff bus kwa baadhi ya taasisi za serikali
Hizi Isuzu Mv body zilikuwa zinachongwa na LHSH. Saizi zinazofanya kazi ni za JW, Polisi na magereza.
 
au mbowe kutoka udj hadi mkuu wa kambi ya upinzani
Mbowe ana taranta ya uongozi.

Disco lao pale Mbowe Hotels ndio lilikuwa maarufu likiwa na maDJ wakali kabisa akina Saydou, Kalikali na Patalanks

Wakati ule mimi nilipendelea YMCA kwa Dj Chriss Phabby na Jerry Kotto

Lakini pale extelecom Maghot palikuwa hapatoshi pia.

Freeman Mbowe alikuwa mshua bhana!
 
Mbowe ana taranta ya uongozi.

Disco lao pale Mbowe Hotels ndio lilikuwa maarufu likiwa na maDJ wakali kabisa akina Saydou, Kalikali na Patalanks

Wakati ule mimi nilipendelea YMCA kwa Dj Chriss Phabby na Jerry Kotto

Lakini pale extelecom Maghot palikuwa hapatoshi pia.

Freeman Mbowe alikuwa mshua bhana!

Yule mwamba mtoto wa mjini na ni wa kitambo michezo yote ya mjini haumfichi, watu kama makonda wakimnanga nilikua nawacheck nasema wakoromije hawa, watu wengi wamemjua akiwa hana rasta maana mwana ni rastafari yule
 
Yule mwamba mtoto wa mjini na ni wa kitambo michezo yote ya mjini haumfichi, watu kama makonda wakimnanga nilikua nawacheck nasema wakoromije hawa, watu wengi wamemjua akiwa hana rasta maana mwana ni rastafari yule
Mbowe mjini kitambo,hakuna asichokijua
Kuhusu mambo ya mjini[emoji23]

Ova
 
Nimesoma kila comment hapa naona ni kama natazama movie nzuri sana. Picha inayonijia ni vumbi kali barabarani, mabasi yanayounguruma na kutoa moshi sana na watu waliovaa mabwanga. Kwa hiyo hii mada wanachangia mabitozi wa zamani ambao kwa sasa wamekuwa replaced na sharobaro sijui.

Anyway bus langu la kwanza ni Mohammed Trans. Hizi story Bongomovie wangekuwa wana resources ni script kali mno. Special thanks kwa wote especially johnthebaptist
 
Mbowe ana taranta ya uongozi.

Disco lao pale Mbowe Hotels ndio lilikuwa maarufu likiwa na maDJ wakali kabisa akina Saydou, Kalikali na Patalanks

Wakati ule mimi nilipendelea YMCA kwa Dj Chriss Phabby na Jerry Kotto

Lakini pale extelecom Maghot palikuwa hapatoshi pia.

Freeman Mbowe alikuwa mshua bhana!
Pantalakis John yupo kwao jirani na masai
Nkitakaga old skull naendaga kumuona
Huyo ndy alimfundisha dilinga udejay

Ova
 
Nimesoma kila comment hapa naona ni kama natazama movie nzuri sana. Picha inayonijia ni vumbi kali barabarani, mabasi yanayounguruma na kutoa moshi sana na watu waliovaa mabwanga. Kwa hiyo hii mada wanachangia mabitozi wa zamani ambao kwa sasa wamekuwa replaced na shatobaro sijui.

Anyway bus langu la kwanza ni Mohammed Trans. Hizi story Bongomovie wangekuwa wana resources ni script kali mno. Special thanks kwa wote especially johnthebaptist
Ahsante sana mkuu!

Mtangazaji wa RTD Pascal Mayalla bado hajachangia lakini anakuja!
 
Njombe alikuwepo moja inaitwa tisheti na jeans Njombe - Ludewa sijui kama bado ipo mpaka sasa
Kuna nyingine zinaitwa THP Babu zinaenda Lupembe sijui kama zipo
Abood anayo Leyland kama hiyo huwa inafanya shughuli za misiba pale Moro Town.
 
Back
Top Bottom